Mataifa ya Afrika tulipa uhuru kirahisi, Palestine wanakwama wapi?

Mataifa ya Afrika tulipa uhuru kirahisi, Palestine wanakwama wapi?

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Vuguvugu la Uhuru barani Africa lilianza baada ya ww2.

Mwishoni mwa miaka ya 50s, tayari baadhi ya mataifa yakaanza kupata Uhuru tena kwa njia rahisi sana.

By 1980, tayari karibia mataifa yote yalikuwa huru

Nchi za Asia na Latin America, ni Hivyohivyo.

Kwa utajili wa Africa, wazungu wasingetupa Uhuru kirahisi hivyo.

Bara la Africa ni tajili kupitiliza kwa maliasili, lakini hakuna nguvu kubwa ilitumika kupata Uhuru.
Wazungu wangeng'ang'ana Africa lakini hali haikuwa hivyo.

Wa Palestine Wanakwama wapi? Mbona hali inakuwa mbaya siku Hadi siku. Hakuna kabisa matumaini ya kupata Uhuru wa taifa Lao.

MAONI: Wa Palestine wanalamisha tu eneo lile. Ile ardhi sio Yao. Ingekuwa ni haki Yao, wangepata taifa lao muda tu
 
Vuguvugu la Uhuru barani Africa lilianza baada ya ww2.

Mwishoni mwa miaka ya 50s, tayari baadhi ya mataifa yakaanza kupata Uhuru tena kwa njia rahisi sana...
walipewa uhuru mwaka 1948 wao wakaona uhuru hauna dhidi ya kuifuta Israel n kuwafuta wayaud kwenye uso wa dunia , namin ushaelewa nn wanapigania
 
Palestine kwao ni Gaza,na Westbank, Ramalah wana utawala wao huko. Wao wanaamini maeneo ya Israel, Jerusalem ni yao na wanapigania Kitu ambacho si kweli. Wapalestina Wakiacha vurugu Israeli iko tayari kushirikiana nao. Wapalestina wakiweka silaha chini kutakuwa na amani, Israeli ikiweka silaha chini itaondolewa kwenye uso wa Dunia 🤔
 
Vuguvugu la Uhuru barani Africa lilianza baada ya ww2.

Mwishoni mwa miaka ya 50s, tayari baadhi ya mataifa yakaanza kupata Uhuru tena kwa njia rahisi sana.

By 1980, tayari karibia mataifa yote yalikuwa huru

Nchi za Asia na Latin America, ni Hivyohivyo.

Kwa utajili wa Africa, wazungu wasingetupa Uhuru kirahisi hivyo.

Bara la Africa ni tajili kupitiliza kwa maliasili, lakini hakuna nguvu kubwa ilitumika kupata Uhuru.
Wazungu wangeng'ang'ana Africa lakini hali haikuwa hivyo.

Wa Palestine Wanakwama wapi? Mbona hali inakuwa mbaya siku Hadi siku. Hakuna kabisa matumaini ya kupata Uhuru wa taifa Lao.

MAONI: Wa Palestine wanalamisha tu eneo lile. Ile ardhi sio Yao. Ingekuwa ni haki Yao, wangepata taifa lao muda tu
kikwazo kikubwa kwa uhuru wa wapalestina ni marekani
 
Wote wenye ndoto ya kuifuta Israel kwenye uso wa dunia wote wanatoweka moja baada ya mwingine na kuiacha Israel ikiendelea kudunda.

Yuko wapi dikteta Ayatollah Rahollah Khomenei, Abu Nidal, Abu Jihad, Abu Abbas, Ebrahim Raisi, Ismael Haniyeh, Hassan Nasrallah, Yahyah Sinwar na wengine kibao.

Mpaka watakapo kuja kugundua kwamba Israel ni swala la andiko watakuwa wameisha wote.
 
Back
Top Bottom