Mataifa ya Marekani, Umoja wa Ulaya, Japan na Mamluki wote msithubutu kuishitaki, kuweka vikwazo na kupandikiza magaidi Tanzania mtajuta

Mwaka 1978 na 1979 nilikuwa Mzalendo hasaaaa;mimi na wazee wangu tulitoa mchango kwa wapiganaji wetu waliokuwa wakipigana na majeshi ya Gen.Idi Amin.

Ila this time around nitakuwa Mzalendo upande wa Mabeberu na kundi lolote litakalisimama dhidi ya Serikali ya huyu Rais mwenye kichwa kama fenesi.
 
We jamaa bana, hivi huwa unazuguka mitaani na kupata maoni ya watu? Au huwa unashinda JF ukiandika porojo? Wewe na nani ambao mnaongozwa kwa shurti? Au unadhani siasa ni kama footbal,kwamba ukiwa Simba hata kama Yanga ipo vizuri unaiponda?
Kwani mkuu wewe huishi mtaani? Maana uko pia jf
 
Nasema hivi, hiyo huduma unayolazimisha kuileta hapa jukwaani watu hatutumii. Kwanini utulazimishie dhambi?
Mkuu, sina faida kabisa na haya niliyoandika, najuta, naomba unisamehe mkuu, naomba tuyafute, nitaanza mimi kufuta kila pahala nilpo Ku Quote, samahani Sana, staweka utani tena huu WA kijinga usio na faida yoyote
 
Mzee wa tashwishi umeanza kazi? 😂😁😂😁😁😂😁😁😁😁
 
Nimeona mada nikafungua haraka kuisoma nikijua imetolewa na mtu anaejitambua au kufahamu masuala ya kimataifa nikakuta hola!
hakuna mtu mwenye akili timamu wa kuzingatia hili, ni ugoro mno., shauri vitu vinavyowezekana.
Mkuu huyo jamaa anajua kuwa kwa sababu jiwe ni dikteta basi anaweza amka asubuhi na kusema kuanzia leo tumejitoa ICC kwa sababu wanataka madini yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sidhani kama anajua masharti ya kujitoa huko
 
Umejiunga jf 23 oct 2020 jf inawatu ambao wako very intelligent maoni yako ni mazuri sana 'kuna walinda tonge VS watafuta tonge'"
 
Aliekutuma utusemee kwamba Lissu sio ndugu yetu ni nani?

Nyie si muendelee kufurahia ushindi wa Kura za mabegi,sasa mnaweweseka nini?

Hili bandiko si uwapelekee ubalozini kwao huko au mwambie Jiwe awafukuze hapa nchini tuone
 
Mtasubili saaaaana kuingia ikulu. Hao nao watarajia wafungue kesi walishashindwa hata kabla ya kufungua. Wamebaki wanabweka kama jibwa, na sisi hatuwarushii mawe tunasonga mbele. VIVA T2020 JPM KAZI INAENDELEA
Kama jiwe hana hatia anaogopa nini kwenda huko? Au anadhani huko hawatendi haki kama Tanzania?
 
Yaani hadi Mjapani na Mkorea kawashtukia...aisee CCM lazima mjitafakari saana!! Mliyoyafanya ni aibu ya mwaka!! Aibu ya ulimwengu!! Hata shetani mwenyewe kwenye hili ni lazima awaruke, ndiyoo.. hawezi kushiriki dhambi iliyopitiliza kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…