Mataifa ya Marekani, Umoja wa Ulaya, Japan na Mamluki wote msithubutu kuishitaki, kuweka vikwazo na kupandikiza magaidi Tanzania mtajuta

Habari za Tiss,Nec na kura za mabegi, hauna ushahidi nazo. Kwamba nusu ya waliojiandikisha kutopiga kura,sio sababu kuwa 90% ya watanzania wanamkubali JPM. Hiyo 90% ni wananchi wote wa Tanzania.
Huo utafiti umeufanyia wapi?
Hiyo ingekuwa kweli wizi wa kura usingefanywa
 
Tukiwekewa vikwazo huyo kuadi wa mabeberu hatakanyaga tena nchini mwetu, asahau kabisa; la siyo tutamgawana kama mbwa mwitu wanavyogawana swala porini. Kamwe asidhani watu tunatania.
 
Mbona 90% ya watanzania wanakubali kuwa JPM amepita kihalali na wanakubali uongozi wake. Hawasemi kuwa kuna shuruti, habari za kushurutishwa unazitoa wapi?
Labda wajinga kama wewe chagua malunde. Hata Magufuli mwenyewe Hana furaha kwani anajua mziki unao fuata. Sisi Tupone tayari kushirikiana hata na shetani ili mradi tumtoe Magufuli na CCM yake. Mtajuta kwa wizi mlio ufanya !
 
Muulize Kenyata na Rutto Kwanini walivyokuwa na kesi walishindwa kujitoa ICC? kujitoa sio one night show....
 
Mawazo mufilsi. Kiingereza cha hovyo. Lazima muasisi wa huu utopolo atakuwa bonge la popoma!
 
Usitishe watu lofa mkubwa wewe umtwange mtu risasi 16 halafu usitegemee alipe kisasi shenzi kabisa you are bunch of evils .Angepigwa risasi moja mpaka tatu sawa ingevumilika na kusameheka 16 bullets means there were an intention to kill.
 
Nani akuhujumu wakati mpaka leo raia wako wanaishi kwenye nyumba za tope acha kujitekenya mwenyewe kisha ucheke mwenye
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani inabidi tu ucheke yaani wewe unawatisha Mabeberu kwa uwezo gani ulionao?

Halafu kama sisi tuna ubavu mbona sasa mipesa yao tunaitaka.
 
Tulia Bomba likuingie vizuri
 
ET WEWE UNAIAMBIA MAREKANI ITAJUTAAAA.....KICHAA CHA WAP HIKI
 
We jamaa bana, hivi huwa unazuguka mitaani na kupata maoni ya watu? Au huwa unashinda JF ukiandika porojo? Wewe na nani ambao mnaongozwa kwa shurti? Au unadhani siasa ni kama footbal,kwamba ukiwa Simba hata kama Yanga ipo vizuri unaiponda?
Hv Tanzania kuna uhuru tena wa kupata maoni ya watu!!!! Kama hatuongozwi kwa shuruti kwa nini mnatuma polisi wazuie maandamano ya amani na mikutano ya siasa, kutishia,kufunga na kupiga kila anayetoa maoni yake tofauti na CCM. no freedom of speech wala freedom of expression iliyopo ni kiini macho kifupi no tolerance at all.
 
Upuuzi.
 
Wivu wa Kwa nini Corona haijatusumbua ndio kinachotia wivu, Kama Mungu aiishivyo na Kwa kuwa ndiye aliyetuhuruku Sisi, Yeye anajua pia kututetea!
Muwe mnatumia akili,kweli mtu umesoma halafu unakuwa na fikra za kipuuzi namna hii?shame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…