Kwa hii list, Kenya tuko wa kwanza barani Afrika. Tumeshinda hata Afrika kusini ndio maana Wabongo wanatokwa povu
Sasa kama wewe unayo akili timamu mtu kama anaweza kudukuliwa kwa urahisi anawezaje kuangusha ndege ya kipelelezi, kwasababu haiwezekani unaenda kwaajili ya kupata taarifa za siri halafu kumdukua ni rahisi Sana inakuaje ushindwe kuvuruga mitambo ya ulinzi wa anga Kwanza mpaka unadunguliwa nina wacwac unawaza kwa kutumia tope la matakoni.
Achana na hiyo ya juzi, mwaka 2011 kuna moja walii-hack na kuchukua control, wakaiongoza na ikatua kama vile yao. Halafu mtu anaandika eti jamaa hawako secured?
Leo mumetokwa na povu kishenzi. Hamuwezi kukubali kuwa Kenya mnayoidharau ndio ya kwanza barani Afrika katika cyber security.Kunyastan iko kwenye list ya failed state
Leo mumetokwa na povu kishenzi. Hamuwezi kukubali kuwa Kenya mnayoidharau ndio ya kwanza barani Afrika katika cyber security.
Hahahaha halafu kwa akili hiyo ndio nawe unajiita mwana uchumi! Maana kwa sifa kama hizo hata kama unaisifia Tanzania kuifananisha na A. KusiniKwa hii list, Kenya tuko wa kwanza barani Afrika. Tumeshinda hata Afrika kusini ndio maana Wabongo wanatokwa povu
Kuna ambazo walizihack wakaanza kuziongoza wenyewe..wakazipeleka jagwani wakaziripua..na Kuna ambazo walizihack wakazitumia kuspy warships za US..Alaf Wakikuyu wa Kibera wanasema wamewazidi wa IranSi ndo napomuona huyu mpumbavu tena hiyo dron kwa maneno ya wamarekani ndio ghari zaidi duniani na inateknolojia zote za marekani za ulinz na za kisasa na imeshushwa kwa kombora moja tu kuonyesha watu hawabahatishi .unajua wakenya akili zao akija mzungu akipaka dawa kidole chake cha Kati halafu akawaambia hii chanjo ndivyo inatumika hivi kwahiyo vueni nguo niwaingizie huyu mk 254 atakuwa wakwanza sababu tu kasema mzungu wala hafikirii. Mzungu akisema chochote kwa wakenya wao sawa akili za wakenya ndio zinafanana na mbo eeee na tundu yani hazina tofauti hata kidogo.
Haijalishi nani kaiandaa hiyo ripoti, kwa akili yako ya kujua kutumia bitwise shift operator unafikiri unawazidi wa Iran kweli kwenye ulinzi wa mitandao?Unapotezea kisa uzembe tu, hii ripoti imeandaliwa na ITU, nitakushangaa sana ukipuuza ripoti ya taasisi kama hiyo, hehehe nyie watu yaani wazembe hadi raha.
Sikulaumu wewe kuamini haya, kwa kuwa ni wazi hujui jinsi computers zinavyofanya kazi at machine level lakini namshangaa ndugu yako MK254 kuwashwa washwa na hii taarifa.Leo mumetokwa na povu kishenzi. Hamuwezi kukubali kuwa Kenya mnayoidharau ndio ya kwanza barani Afrika katika cyber security.
Haya sio mambo ya uchumi. Haya ni mambo ya cyber security. Hata nchi masikini inaweza kuwa na cyber security kali na nchi tajiri iwe na mbovu. Hayana uhusiano na mambo ya uchumi. Usilete siasa hapa.Hahahaha halafu kwa akili hiyo ndio nawe unajiita mwana uchumi!! Maana kwa sifa kama hizo hata kama unaisifia Tanzania kuifananisha na A. Kusini
Leta evidence. Hapa sio mahali pa stori za vijiweniKuna ambazo walizihack wakaanza kuziongoza wenyewe..wakazipeleka jagwani wakaziripua..na Kuna ambazo walizihack wakazitumia kuspy warships za US..Alaf Wakikuyu wa Kibera wanasema wamewazidi wa Iran
Kenya is actually a technology leader in africa. That is why majority of funding for technology companies goes toLeo mumetokwa na povu kishenzi. Hamuwezi kukubali kuwa Kenya mnayoidharau ndio ya kwanza barani Afrika katika cyber security.
Yes. We are tech leaders in Africa.Africa’s Talking ($8.6M)
Co-founders Sam Gikandi and Eston Kimani started Africa’s Talking in 2010, which is now a go-to platform that simplifies access to telco infrastructure that allows developers to use their SMS, USSD, Voice, Airtime and Payments API’s to bring their ideas to life. In Seed and Series A rounds, the company has raised funding amounting to $8.6M with IFC, Orange Digital Ventures, Social Capital and Better Ventures as their investors.
Copia Global ($6M)
Nairobi-headquartered Copia has raised $6M across 2 rounds with DOB Equity as their lead investor. With a team led by founder Tracy Turner, the company provides a “state-of-the-art” shopping experience that brings goods and services to your doorstep all with advanced levels of customer service.
Sendy ($12M)
Sendy was launched in 2014 and has built partnerships and unlocked opportunities for Kenyans through its delivery platform that connects businesses and drivers of all vehicle types for deliveries. Across 4 rounds, this e-logistics platform has raised a total of $12M in funding, the latest being a Series B a few days ago. DOB Equity, Safaricom and Goodwell Investments are some of its notable investors.
A tip of the iceberg in the Kenyan technology sector.
Tuondolee tafiti za kuokoteza hapaHii ni orodha ya mataifa yalivyojiandaa kiusalama kwenye masuala ya mitandao, sasa kuna baadhi ambayo yamekaa hovyo yaani wataalam huko wamelala usingizi kwamba udukuaji huko unaweza kufanyika kizembe tu bila kutumia nguvu nyingi, yamejianika na kuachia kila kitu, mataifa yenyewe haya hapa Tajikistan, Turkmenistan, Syria, Iran, Indonesia, Vietnam, Tanzania, and Uzbekistan.
Wacha nikupatie siri moja yenye mtu kama wewe na wengine hamjui.. Bidhaa mingi zinazotumika hapa Kenya utaona na utasikia ati zimetoka America na uchina. Lakini hiyo ni siri moja ya matajiri ya kujificha kulipia ushuruMK254, Naona Kenya haipo ipo Iran kwahiyo nawe unaamin kua Iran rahisi kudukuliwa kuliko Kenya wakati Irani kila kitu anatengeneza mwenyewe wewe mpaka umlipe mzungu akakutengezee huko ulaya halafu unasema unajilinda, upunguze upumbavu mda mwengine
Haijalishi nani kaiandaa hiyo ripoti, kwa akili yako ya kujua kutumia bitwise shift operator unafikiri unawazidi wa Iran kweli kwenye ulinzi wa mitandao?
Akili za kuku hizi.