Tumeshinda hata Mexico sasa lia machozi.Hapo kwa Iran na Vietnam ndio wakenya mumeonesha jinsi gani munapenda sifa bila ya kutumia akili,
Mara ndege ilishushwa kwa kuhackiwa mara ilidunguliwa na missile. Wacheni uchizi. Kama ilidunguliwa na missile basi hata sio lazima uwe na ujuzi wa computer science ili kurusha missile. Hio inahitaji wanajeshi wa kawaida tu wala haihitaji computer scientists.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti taluma labda ya uchizi, unazani taluma inatua ktk kichwa chochote hata cha mwendawazimu? Elezea ndege ya kipelelezi walivyoidungua huku wakiiona toka inavyotoka uwanja wa Imarat mpaka kwenye mipaka ya Iran na kushushwa kwa kombora 1 tu ingeingia Kenya mungeishusha kwa kutumia makombora ya Kenya au ya marekani?
Bc ndio usifurahie kitu unachosifiwa wakati hata we mwenyewe hujui na huna uhakika kama kilichoandikwa ni kweli, huo ni uzezeta kitendo cha kukosa akili ya kuelewa hata kama mnapumbazwa kwa maslai yao binafsi ninyi munashangilia tuMimi na Mk254 hatuwezi kukuelezea hayo mambo kwa sababu sio sisi tulioandika hio report. Kama inakuuma sana basi waandikie hao watu barua watakupa majibu ya kigezo walichotumia.
Google RQ-170 Sentinel 2011.Weka evidence kwamba Iran walishusha drone kabla hatujaendelea na mjadala. Unaweza kuwa unadanganya.
Unachanganya vitu viwili, hiyo ya kupigwa na bomu ni ya 2020, ile ya kuhakiwa ni ya 2011.Mara ndege ilishushwa kwa kuhackiwa mara ilidunguliwa na missile. Wacheni uchizi. Kama ilidunguliwa na missile basi hata sio lazima uwe na ujuzi wa computer science ili kurusha missile. Hio inahitaji wanajeshi wa kawaida tu wala haihitaji computer scientists.
Google RQ-170 Sentinel 2011.
Unachanganya vitu viwili, hiyo ya kupigwa na bomu ni ya 2020, ile ya kuhakiwa ni ya 2011.