Mataifa yaliyojianika hovyoo bila usalama kwenye mitandao

Mataifa yaliyojianika hovyoo bila usalama kwenye mitandao

Sikulaumu wewe kuamini haya, kwa kuwa ni wazi hujui jinsi computers zinavyofanya kazi at machine level lakini namshangaa ndugu yako MK254 kuwashwa washwa na hii taarifa.

Huyo Iran ambaye naona Watanzania mnajificha nyuma yake kuficha udhaifu na uzembe wenu aliwahi kupigwa cyber attack ya kishenzi, kinu cha nyuklia cha Natanz kilipigwa na cyber-worm 'Stuxnet' na kuharibu 1,000 nuclear centrifuges na kuwarudisha nyuma miaka kadhaa, huo mdudu alipiga computers 60,000
 
Hizi ripoti haziandaliwi na wanywa uji wa ulezi kama wewe, hukaliwa na kufayiwa kazi, nitakuelewa maana kwenu suala la uandaaji wa ripoti au utafiti au hata kusoma huw mwiko. ITU sio CCM.....
Hao watu unaowaona ni miungu kwako, sisi tunawaona ni binadamu wakawaida. Ndiyo maana tulivunja mikataba yao ya kilaghai na hawajatufanya kitu.

Tatizo lenu nyinyi wakenya bado mmelewa pombe ya wakoloni. Hao jamaa sio kila kitu wanajua, hata hizo takwimu wanazotoa huwa zinamalengo fulani fulani.

Huwezi kusema Iran, nchi yenye maadui wenye nguvu, wawe na tatizo la kimtandao. Wangekuwa kila siku wanakatiwa mitandao yao, wangekuwa wanapigwa electromagnetic pulse kwenye electric grid zao.

Sijui kama unanielewa au naongea na mtu asiyekuwa na uelewa na mambo haya.
 
Huyo Iran ambaye naona Watanzania mnajificha nyuma yake kuficha udhaifu na uzembe wenu aliwahi kupigwa cyber attack ya kishenzi, kinu cha nyuklia cha Natanz kilipigwa na cyber-worm 'Stuxnet' na kuharibu 1,000 nuclear centrifuges na kuwarudisha nyuma miaka kadhaa, huo mdudu alipiga computers 60,000
Eti kurudishwa nyuma miaka kadhaa, unafikiri hawakuwa na nakala ya hizo software? Sasa elezea ulikuwaje waliishusha drone mwaka 2011.
 
Hao watu unaowaona ni miungu kwako, sisi tunawaona ni binadamu wakawaida. Ndiyo maana tulivunja mikataba yao ya kilaghai na hawajatufanya kitu.

Tatizo lenu nyinyi wakenya bado mmelewa pombe ya wakoloni. Hao jamaa sio kila kitu wanajua, hata hizo takwimu wanazotoa huwa zinamalengo fulani fulani.

Huwezi kusema Iran, nchi yenye maadui wenye nguvu, wawe na tatizo la kimtandao. Wangekuwa kila siku wanakatiwa mitandao yao, wangekuwa wanapigwa electromagnetic pulse kwenye electric grid zao.

Sijui kama unanielewa au naongea na mtu asiyekuwa na uelewa na mambo haya.

Kwenye taaluma yangu huwa hatuoni binadamu kama miungu watu, ila huwa tunatumia facts based analysis, haya ndio matatizo ambayo yamewafanya kujiachia hata kwa corona, hamtumii scientific facts ila mihemko na kauli za hovyoo.
 
Eti kurudishwa nyuma miaka kadhaa, unafikiri hawakuwa na nakala ya hizo software? Sasa elezea ulikuwaje waliishusha drone mwaka 2011.

Kuwa na nakala ya software haitoshi, bila shaka wewe haya mambo yanakupiga chenga, naona napoteza muda na wewe na inasikitisha kama wewe ndiye baadhi ya watu mnaotegemea huko kitaalam, ndio maana Tanzania imetajwa ndani ya orodha ya mataifa ya hovyoo kwenye suala la usalama wa kimitandao.

Kwaheri...sipotezi muda tena nakupuuza kama ndugu zako wengine kwenye huu uzi ambao hata sihangaiki kusoma wanachokiandika maana nilitegemea wewe utakua na kauelewa kiaina kwenye haya mambo.
 
Kuwa na nakala ya software haitoshi, bila shaka wewe haya mambo yanakupiga chenga, naona napoteza muda na wewe na inasikitisha kama wewe ndiye baadhi ya watu mnaotegemea huko kitaalam, ndio maana Tanzania imetajwa ndani ya orodha ya mataifa ya hovyoo kwenye suala la usalama wa kimitandao.

Kwaheri...sipotezi muda tena nakupuuza kama ndugu zako wengine kwenye huu uzi ambao hata sihangaiki kusoma wanachokiandika maana nilitegemea wewe utakua na kauelewa kiaina kwenye haya mambo.
Inakuwaje Iran waliweza kuishusha drone wakati hawako vizuri kimtandao?
Kwenye taaluma yangu huwa hatuoni binadamu kama miungu watu, ila huwa tunatumia facts based analysis, haya ndio matatizo ambayo yamewafanya kujiachia hata kwa corona, hamtumii scientific facts ila mihemko na kauli za hovyoo.
Scientific facts gani wewe fala unazojua zaidi ya kuwa instigator hapa?
 
Kuna ambazo walizihack wakaanza kuziongoza wenyewe..wakazipeleka jagwani wakaziripua..na Kuna ambazo walizihack wakazitumia kuspy warships za US..Alaf Wakikuyu wa Kibera wanasema wamewazidi wa Iran
waache tu Wapumbavu hawaishiwi upumbavu
 
Haya sio mambo ya uchumi. Haya ni mambo ya cyber security. Hata nchi masikini inaweza kuwa na cyber security kali na nchi tajiri iwe na mbovu. Hayana uhusiano na mambo ya uchumi. Usilete siasa hapa.
Tunataka utuambie Jambo moja tu mulilofanya kwenye mtandao kuzid Iran kwa Mimi uelewa wangu hakuna nchi hata moja Afrika inayoizidi Iran kuanzia kiuchumi , kijeshi, kielimu sasa ukinambie umeizid Iran bila ya kutoa sababu itaku sawa na chizi mropokaji
 
Hapo kwa Iran na Vietnam ndio wakenya mumeonesha jinsi gani munapenda sifa bila ya kutumia akili,
 
Wacha nikupatie siri moja yenye mtu kama wewe na wengine hamjui.. Bidhaa mingi zinazotumika hapa Kenya utaona na utasikia ati zimetoka America na uchina. Lakini hiyo ni siri moja ya matajiri ya kujificha kulipia ushuru
Acha habari ya bidhaa , hatuzungumzii kutengeneza stick za Meno hapa na kuziandika made in USA tunazungumzia ujuzi wa kimtandao Kenya iizidi Iran au Vietnam kweli!!
 
Huyo Iran ambaye naona Watanzania mnajificha nyuma yake kuficha udhaifu na uzembe wenu aliwahi kupigwa cyber attack ya kishenzi, kinu cha nyuklia cha Natanz kilipigwa na cyber-worm 'Stuxnet' na kuharibu 1,000 nuclear centrifuges na kuwarudisha nyuma miaka kadhaa, huo mdudu alipiga computers 60,000
Hatutaki walipigwa tunataka useme tuliwapiga au ulete mfano mmoja ambao Kenya ilipiga nchi fulani au ilipigwa na nchi fulani mukazuia
 
Kwenye taaluma yangu huwa hatuoni binadamu kama miungu watu, ila huwa tunatumia facts based analysis, haya ndio matatizo ambayo yamewafanya kujiachia hata kwa corona, hamtumii scientific facts ila mihemko na kauli za hovyoo.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti taluma labda ya uchizi, unazani taluma inatua ktk kichwa chochote hata cha mwendawazimu? Elezea ndege ya kipelelezi walivyoidungua huku wakiiona toka inavyotoka uwanja wa Imarat mpaka kwenye mipaka ya Iran na kushushwa kwa kombora 1 tu ingeingia Kenya mungeishusha kwa kutumia makombora ya Kenya au ya marekani?
 
Ccm si imewafungia mablog spot na kuwatoza pesa. Kumb ni utopolo mtupu WAPO empty
 
Yaani list nzima East Africa ni mother Tanzania ndio amekuwa sample, hii list ni batili.
 
Yaani list nzima East Africa ni mother Tanzania ndio amekuwa sample, hii list ni batili.

Muhimu mkalifanyia kazi hilo suala, haipaswi hata kidogo kujianika kihivyo, tatizo badala ya kukagua wapi mnakosea huwa mnaanza kulaumu mabeberu na kusema mnatafutwa na kwamba utafiti wote huu upo kwa ajili ya kuisimanga Tanzania, yaani kila kitu kipo tu kwa ajili ya nyie.
Kuna uzi nimeona umefunguliwa kule kwenye jukwaa la sayansi na teknolojia unaohusu hili suala, nimeona wanaojiita "wataalam" wa Tanzania wanavyojadili, mnatia huruma kweli.
 
Tunataka utuambie Jambo moja tu mulilofanya kwenye mtandao kuzid Iran kwa Mimi uelewa wangu hakuna nchi hata moja Afrika inayoizidi Iran kuanzia kiuchumi , kijeshi, kielimu sasa ukinambie umeizid Iran bila ya kutoa sababu itaku sawa na chizi mropokaji
Mimi na Mk254 hatuwezi kukuelezea hayo mambo kwa sababu sio sisi tulioandika hio report. Kama inakuuma sana basi waandikie hao watu barua watakupa majibu ya kigezo walichotumia.
 
Inakuwaje Iran waliweza kuishusha drone wakati hawako vizuri kimtandao?

Scientific facts gani wewe fala unazojua zaidi ya kuwa instigator hapa?
Weka evidence kwamba Iran walishusha drone kabla hatujaendelea na mjadala. Unaweza kuwa unadanganya.
 
Back
Top Bottom