Mataifa yatahadharisha watu wao kwenda Marekani

Mataifa yatahadharisha watu wao kwenda Marekani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.

 
Kila mwaka zaidi ya watu milioni mia moja wanaomba visa ya kwenda Marekani huku wengi wao wakilenga kwenda kuzamia kabisa.

Pesa wanayopata kwenye maombi ya visa tu kwa mwaka, inakaribia nusu ya bajeti nzima ya Tanzania. Hiyo ndio nchi ambayo kila moja duniani anatamani walau akapigepo hata chabo.

Pesa wanayopata kwenye maombi ya visa kwa mwaka inaendesha State Department na kubaki. Ungejua usingeleta huu uzi, hao jamaa ni balaa.

Warusi zaidi ya milioni nne wamezamia huko na Wairan zaidi ya milioni tatu wachina ndio usiseme na tangazo la kipumbavu kama hilo litapuuzwa na watu dunia nzima.
 
Kila mwaka zaidi ya watu milioni mia moja wanaomba visa ya kwenda Marekani huku wengi wao wakilenga kwenda kuzamia kabisa.

Pesa wanayopata kwenye maombi ya visa tu kwa mwaka, inakaribia nusu ya bajeti nzima ya Tanzania. Hiyo ndio nchi ambayo kila moja duniani anatamani walau akapigepo hata chabo.

Pesa wanayopata kwenye maombi ya visa kwa mwaka inaendesha State Department na kubaki. Ungejua usingeleta huu uzi, hao jamaa ni balaa.

Warusi zaidi ya milioni nne wamezamia huko na Wairan zaidi ya milioni tatu wachina ndio usiseme na tangazo la kipumbavu kama hilo litapuuzwa na watu dunia nzima.
Hahaha
 
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.

Mtoa mada atakua ni muumini wa wavaa kobazi. Aisee mtu asikuambie kule ndo Kuna maisha. Mtu asikuambie. Maisha ya USA ni kiwango kingine. Ndo nchi inayoongoza kua na Sheria Kali kuingia kuliko taifa lolote chini ya Jua. Kila mtu anatamani akaishi huko. Halàfu unaleta story za vijiwen hapa
 
Mtoa mada atakua ni muumini wa wavaa kobazi. Aisee mtu asikuambie kule ndo Kuna maisha. Mtu asikuambie. Maisha ya USA ni kiwango kingine. Ndo nchi inayoongoza kua na Sheria Kali kuingia kuliko taifa lolote chini ya Jua. Kila mtu anatamani akaishi huko. Halàfu unaleta story za vijiwen hapa

mvaa kobazi mwenye anapataka ndio maana wivu umemjaa
 
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.


Wabongo mkishazamia Marekani mnaanza kutisha wenzenu wasiende.
Mna roho mbaya na wabinafsi sana nyie wadudu.
 
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.


mimi niko hapa mwaka wa tatu natengeneza maisha tu,,hata waiseme vipi hii nchi ila ina fursa ambazo hazipo sehemu yoyote duniani, ukitaka nifafanue tell me
 
Unakujua Marekani au unakusikia. Acha kabisa. Kule ndiyo Kuna maisha ambayo binadamu anatakiwa kuishi. Nenda mwenyewe ukaone maisha yalivyo na siyo ya kusikia.
Maisha ya Marekani ni ya hovyo kuliko maisha ya Congo DRC.
 
mimi niko hapa mwaka wa tatu natengeneza maisha tu,,hata waiseme vipi hii nchi ila ina fursa ambazo hazipo sehemu yoyote duniani, ukitaka nifafanue tell me
Mimi najua Burundi ina fursa nyingi mara 2000 kuliko hiyo nchi maskini ya Amerika Kaskazini.
 
Amka kutoka usingizini Ami
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.

 
Maisha ya Marekani ni ya hovyo kuliko maisha ya Congo DRC.
Ukiona mtu anatamani kuishi Marekani ujuwe ana sifa zifuatazo
Anapenda kudhulumu watu
Anapenda uchawi
Anapenda ushoga,siku akipewa pesa nyingi anatoa apate pesa za kuleta nyumbani.
Ni jitu ambalo kukaa mbali na Mwenyezi Mungu kwake ni kawaida(mfano kuzini,kulewa,kamari n.k)
 
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.


Vipi sisi hatumo kwenye hao walio issue hiyo travel advisory alert?
 
Ukiona mtu anatamani kuishi Marekani ujuwe ana sifa zifuatazo
Anapenda kudhulumu watu
Anapenda uchawi
Anapenda ushoga,siku akipewa pesa nyingi anatoa apate pesa za kuleta nyumbani.
Ni jitu ambalo kukaa mbali na Mwenyezi Mungu kwake ni kawaida(mfano kuzini,kulewa,kamari n.k)
Saudia vipi tuende huko au sudani ya kaskazini hakuna mijitu inayokaa mbali na Mungu????Au tuende iran???? Tushauri twende wapi kaka????Na swali la msingi wewe duniani umetembelea nchi ngapi???
 
Saudia vipi tuende huko au sudani ya kaskazini hakuna mijitu inayokaa mbali na Mungu????Au tuende iran???? Tushauri twende wapi kaka????Na swali la msingi wewe duniani umetembelea nchi ngapi???
Wewe waza kukaa nyumbani kwanza.Tumia akili na juhudi utumie rasilimali zinazofuatwa na mabeberu.
Kuhusu kutembea kwa kweli ni nchi nyingi si chini ya 10 mpaka Vatican nimepitia.
 
Imezoeleka kusikia tahadhari za usafiri kwa raia wa Marekani kwamba wasiende nchi fulani na fulani kwa vitisho tofauti na mara nyingi ni kile wanachokiita ugaidi.Tahadhari hizo zilitiliwa maanani sana na mataifa madogo yalillalamika kwa kunyimwa fursa ya kutemmbelewa na wamarekani.

Hiyo ilikuwa enzi hizo Marekani ilipokuwa taifa kubwa na linaloheshimika. Sasa mambo yamebadilika mataifa kadhaa yamekuwa yakitahadharisha watu wao kutokwenda Marekani bila sababu.

Jambo kubwa ni ukosefu wa amani katika taifa hilo.Watu wake wamekosa nidhamu na ubinadamu kiasi kwamba kuuwana kwa risasi popote utakapokuwa ni jambo la kawaida,JInaweza kutokea barabarani au hata ndani maduka makubwa.


Kumbe Ami ni wewe yakhe😂😂😂🤣🤣Asalaam salaaam inshalaah!!!!Tumeshakuelewa unachotaka kutuambia!!!Vipi unatushauri tuende saudia au Irani ndio kuna fursa tukawe vijakazi wa waarabu na waajemi????
 
Back
Top Bottom