Mataifa yatahadharisha watu wao kwenda Marekani

Wewe waza kukaa nyumbani kwanza.Tumia akili na juhudi utumie rasilimali zinazofuatwa na mabeberu.
Kuhusu kutembea kwa kweli ni nchi nyingi si chini ya 10 mpaka Vatican nimepitia.
Ami umepitia hujakaa!!!!Kakae kwanza afu ndio uje utuambie!!!Ami marekani unaijua tu au unaiona youtube!!!!
 
Na wewe utazamia lini? Kasumba ya kijinga tu. Nenda ukafagie choo huko maana inaonekana huwezi kua na issue kubwa. Mtu katoa ukweli uliyozagaa kote duniani eti asingetoa uzi wake🤔
 

Marekani issue nyingine “dream of opportunity”
Hakuna nchi ya kufanana nayo. Kumbuka Ndio nchi ya kikristo ina mbunge Muislam kutoka Somalia Ilhan Omar.
 
Kumbe na wewe hujakaa huko Ami!!!Mimi nilijua umekaa ukapata uzoefu na ndio ukatuletea uzi!!!!Kumbe na wewe unaleta story za YouTube kaka!!!!
Kwa kujua wewe umeishi ndio nikakwambia umeishi wapi ili tufuatane.Mmoja kati yetu inaonekana hajaishi huko.Kwa ukali uliokuja nao kuitetea Marekani na kama ni wewe ndio hujjaishi huko unatetea tu basi bora kaa kimya.
Wanaoishi huko ni wengi ila wanaotafuta pa kwenda kukimbia fujo akina mimi wako wengi.
 
Na wewe utazamia lini? Kasumba ya kijinga tu. Nenda ukafagie choo huko maana inaonekana huwezi kua na issue kubwa. Mtu katoa ukweli uliyozagaa kote duniani eti asingetoa uzi wake🤔
Ami kwahiyo unatuambia tuchane viza zetu tuende saudia au Oman?????Wakati mahomie,z wametupa ramani tukapige hela!!!!Kaka wewe utakua una ajenda nyuma ya pazia kama za waafidhina wa answar sunni jumuiyat!!!!Nimeshakuelewa yakhee Ami
 
Kaka Ami twende mimi niwe crisp afu wewe bloods tukafanye fujo vizuri wakitukamata tuwe deportation bongo!!!!🤣🤣🤣😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…