Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo zimeisha, stock mpya mwisho wa mwezi.
2016size 275/70R16 bei gani na zimetengenezwa mwaka gani?
bei?2016
zipo mkuu, bei 500,000 kamili kwa moja. Discount ntakufanyia 480,000 kwa moja. Hio ni Bridgestone.31x10x50R zipo?
Nipe bei.
465000 kwa moja. Hio ni Bridgestone.bei?
Mlikuwa mnaziuzajehizo zimeisha, stock mpya mwisho wa mwezi.
laki 6 kwa moja. mkuu. hio ni bridgestoneMlikuwa mnaziuzaje
235/55R18
zipo mkuu, bei yake ni 468,000 kwa moja. ntakufanyia discount 400,000 kwa moja kama unachukua nne.Mi napenda kujua bei ya size 256/70R 16, 112S kwa nne kama zinakuwa na discount.
Mkuu, Hizi tairi bado zipo? Na X TRAIL INATUMIA SIZE GANI? MAX NA MIN SIZE? KAMA NIKINUNUA NNE KUNA DISCOUNT?
Hizo zipo mkuu, bei yake ni 370,000 kwa moja. ntakufanyia discount 330,000 kwa moja kama unachukua nne.
mkuu ungepiga picha tairi kwa karibu zaidi ili nione size namba ya tairi.Nataka ya Toyota caldina ya kutokeza njee mapana.![]()
![]()
Mkuu,Hizo zipo mkuu, bei yake ni 370,000 kwa moja. ntakufanyia discount 330,000 kwa moja kama unachukua nne.
Njoo ofisini msasani tumalize biashara.
280,000 haiwezekani Mkuu, Fanya 300,000 kamili kwa moja kama unachukua zote nne. hio ndio bei ya mwisho.Mkuu,
Mbona kwenye list ya bei zako umeandika 340,000????Siwezi pata kwa 280,000 kwa moja? Nataka nne
Sawa Mkuu, ntakucheki soon... Hizi tairi hazipigi kelele?280,000 haiwezekani Mkuu, Fanya 300,000 kamili kwa moja kama unachukua zote nne. hio ndio bei ya mwisho.
Hazipigi kelele hizo, hayo matairi ni Bridgestone origino ni imara, ukifunga hizo zinakaa vizuri na zinatulia.Sawa Mkuu, ntakucheki soon... Hizi tairi hazipigi kelele?