Matajiri 10 hawa hapa na 80% wamewekeza kwenye technology

Matajiri 10 hawa hapa na 80% wamewekeza kwenye technology

Kwa nchi yetu kuna ubunifu ambazo zinagonga mwamba kwa kuwa nchi yetu maskini (kielimu, kipato, kitechnogy, kiutandawazi nk)
Ni kweli mkuu ndo maana nimemuuliza kama ana idea yoyote.

Kwa nchi yetu kuna ubunifu ambazo zinagonga mwamba kwa kuwa nchi yetu maskini
Kweli mkuu nchi yetu ni masikini.
Ila kama ukiweza kujitangaza utatoka tu kutegemea na idea yako.
Na itabidi ujitangaze kuendana idea yako. Kama ulivyosema TZ ni masikini hivyo kiswahili hakina nguvu hapa ndipo umuhimu wa English ulipo.
Ni kweli mkuu mfumo wetu wa elimu inabidi ubadilishwe ili kuandaa next generation kuendana na kasi ya dunia. Ila siku hizi mambo mengi yapo online unaweza kujifunza mambo mengi ambayo shule zetu hizi hayapo, ni kuchangamsha akili.
Ila sishauri watu waache shule, shule ni lazima sababu hata wawekezaji watataka degree ili kuwa na uhakika na pesa zao.
Kuna idea nyingine sio ghali sana kuanza ni sawasawa na pesa ya chips ukiwa na computer yenye nguvu kiasi basi unaweza kuanza mwenyewe.
Pia hata Coding unaweza kujifunza online.

kitechnogy
kiutandawazi
Ni kweli Ila ubunifu, kujiamini, uthubutu na mipango imara ndo kikwazo namba moja.
Kwa mfano wapo walianzisha mauzo ya vitu mtandaoni kama Jumia, kupatana zimekuwa kimya.
Kweli Ila hiyo ni copy and paste bila kuwa na nyongeza yoyote tofauti na company za kwanza zilizoanzisha hiyo idea. Wamekurupuka.

Pia unapocopy idea kutoka company zilizoanzisha miaka 20-30 iliyopita ambazo zina watumiaji die-hard ambao kivyovyote hawatotoka walipo kuja kwako wewe mpya ambaye umezidiwa kila kitu kuanzia ubora mpaka ubunifu.
Hapo usitegemee ufanikiwe bila kuwa na nyongeza/uboreshaji na kuwa mbunifu anayejitegemea na sio copy and paste without any special addition.
Nchi yetu hapa ilipo matumizi ya technology bado yako chini sana,
Ni kweli ila huwezi kukimbia bila kuanza kutembea.
Elon anasema just do it anyway.
Kama yapo chini lini yatapanda kuwa juu? Kama sisi wenyewe tunaogopa hata kuanza kuchechemea acha kupiga hatua.
Solution ni kuanza hivyohivyo...

Kujiamini na mipango imara yenye intelijensia ya hali ya juu ni tatizo.
WAKURUPUKAJI
Biashara zinazolipa kwa sasa ni chakula, maji, nishati, makazi (nyumba za kupanga).
Ni kweli ila hata hizo ukikosa ubunifu utabaki palepale ulipo. Angalia mamantilie na wapangishaji walivyo.
Mavazi, viatu na vitu vya thamani (jeweries) bado ni optional kwa Mtanzania sio vitu vya lazima
Hapa kuna kitu kidogo kinatakiwa kumbuka nilisema kitu "mipango imara".
Kuwa tajiri Tanzania ni kufanya biashara wanazofanya mapatel (Bakressa, dewji).
Ili tufike mbali itabidi tusiwe tunajijali mmoja ili kuwa tajiri.
Pia kama ukipanga kuwa tajiri Africa kwa tech hautofika. Bali kuna akili ndogo inatakiwa ambayo itakufanya uwe tajiri na Africa kunyanyuka kwa hiyohiyo tech.
 
Elon musk atakuja kuwa namba 1 mwakani trust me....hata bezo kufikisha 200 ni kwa influences za upepo wa stocks za tesla kwa amazon.

Bezo kwa kujua hilo ameanza kuinvest kwenye electronic vehicles kama tesla
 
Hizo dola 200B sa jeff bezos ukichukua dola moja moja ukazipanga end to end unaweza ukaizunguka dunia mara 180 na zikabaki zingine zikaenda hadi mwezini na kurudi trip 30 na bado zikabaki zingine ambazo ukizipanga(stacks) zitaenda juu kilomita 30
 
Huyu mdogo wake kazingua sana
Dogo alileta ubishi kwenye mali za baba yao. Baada ya bifu kali la miaka, mama yao akaamuru wagawane mali. Hiyo ilikuwa 2006 baada ya hapo dogo akawa na group la mastar wa Bollywood na makanjibai wenye pesa tu. Kaka yake akawa ni kazini na nyumbani jioni, alipangiwa mke akamkubali. Dogo alipangiwa mke akamkataa, aliyeomuoa dada wa mjini wazazi hawakumtaka (Wahindi ni tamaduni zao kupangia wa kuoa au kuolewa).

Dogo biashara zake zimechangiwa kufa na kaka yake ambaye ni kama ana elements za ukorofi sana au umafia kwa mbali. Biashara zake nyingine zilizofirisika kazinunua yeye.
 
Elon musk atakuja kuwa namba 1 mwakani trust me....hata bezo kufikisha 200 ni kwa influences za upepo wa stocks za tesla kwa amazon.

Bezo kwa kujua hilo ameanza kuinvest kwenye electronic vehicles kama tesla
Tesla ni technology ambayo muda wowote inakua au kufa. Uzuri wa Musk anategemea start ups zake nyingi. Anayo Telsa, Neurolink, SpaceX, Open AI na The Boring Company.

Mwakani kuwa tajiri namba 2 inawezekana lakini kuwa out of top 8 ni vigumu kwa kuwa wanaomfuatia wengi wameathiriwa na Covid-19 na madhara watayasoma kwa miaka 2-3.

Ili Musk ashuke nadhani inabidi rocket za SpaceX zikirishwa zifeli na kupata ajari, itokee kampuni ya magari ya umeme ya kushindana maana zilizopo haziko serious, magari yake yawe mabovu na yapate ajari ovyo au yawe na AI mbaya kiasi kuwa ratings yashuke.
 
Kwa nchi yetu kuna ubunifu ambazo zinagonga mwamba kwa kuwa nchi yetu maskini (kielimu, kipato, kitechnogy, kiutandawazi nk).

Kwa mfano wapo walianzisha mauzo ya vitu mtandaoni kama Jumia, kupatana zimekuwa kimya.

Nchi yetu hapa ilipo matumizi ya technology bado yako chini sana, Biashara zinazolipa kwa sasa ni chakula, maji, nishati, makazi (nyumba za kupanga).

Mavazi, viatu na vitu vya thamani (jeweries) bado ni optional kwa Mtanzania sio vitu vya lazima.

Kuwa tajiri Tanzania ni kufanya biashara wanazofanya mapatel (Bakressa, dewji).
hahaha
 
Dah we jamaa ni lecturer wa chuo kikuu nini? Ulivyonijibu hoja baada ya hoja umenifurahisha
Hapana mimi sio lecturer wa chuo kikuu ila ni mwanafunzi na Jamiiforums rules hazituruhusu sijui sababu.
Nashauri waturuhusu iwe vizuri zaidi.
Ila mkuu nadhani nchi yetu ndio tumeanza kuingia ingia kwenye uchumi wa viwanda. Huko kwenye technology bado sana maybe miaka 100
Ni kweli tunaanza kuingia kwenye uchumi wa viwanda Ila pia tunaweza kuanzisha viwanda vya kuzalisha new technology kwa kutumia rasilimali zetu kwa kutegemea watu wengi wa kiafrika wenye idea ambazo hawawezi kuzikuza, kuziendeleza wala kuziboresha ambao wapo mitaani.
Tuna uhitaji mkubwa sana viwanda, tuna rasilimali nyingi sana (za bei ya kutupwa) za kwenda viwandani. Hapa ndipo mapatel wenye mitaji wanatumia fursa ya mitaji kujitajirisha hapa nchini.
Ni kweli mkuu pia tuna uhitaji mkubwa wa waafrika vijana ambao wana jitambua wenye vision zisizo binafsi, akili na uzalendo wa kweli juu ya kuendeleza TZ na Africa kwa ujumla.
Mtaji na kiwanda bila ya idea na akili juu ya jinsi gani utautumia huo mtaji na kuendesha hicho kiwanda ni sawasawa na samaki Papa anayejaribu kuruka kutoka kwenye maji.
Pia bila ya hao vijana niliowasema basi hao matapeli wataendelea kututapeli mpaka kimondo kingine kije kufuta uhai duniani hata miaka billion ijayo.
Hivyo serikali itabidi wajue jinsi gani ya kuzalisha vijana wa aina hiyo ili waendeleze taifa la leo sio kesho.

Waafrika pekee ndo watakaoweza kuinyanyua Africa na sio wawekezaji wanyonyaji.
Tanzania hii kama unamtaji mzuri ingia kwenye uwekezaji wa viwanda ndio utajiri ulipolala kwa sasa, baada ya miaka kadhaa huko mbele matajiri wengi watakuwa wa uzalishaji viwanda
Ni kweli ila nchi zilizoendelea na zinazo endelea kuendelea.
Matajiri wao wengi nia yao walikuwa kuwa Tajiri na Kuendeleza nchi zao, kwa kurahisisha/kuanzisha ama kuboresha baadhi ya vitu kwenye nchi zao hivyo nchi hizo kuendelea.
Na sio wazo la kuwa Tajiri pekee kama nilivyosema post yangu ya nyuma.
 
Ili Musk ashuke nadhani inabidi rocket za SpaceX zikirishwa zifeli na kupata ajari, itokee kampuni ya magari ya umeme ya kushindana maana zilizopo haziko serious, magari yake yawe mabovu na yapate ajari ovyo au yawe na AI mbaya kiasi kuwa ratings yashuke.
Ni sawa na kusema ili Samsung ishuke inabidi simu zao zizidi kulipuka
 
Kwa nchi yetu kuna ubunifu ambazo zinagonga mwamba kwa kuwa nchi yetu maskini (kielimu, kipato, kitechnogy, kiutandawazi nk).

Kwa mfano wapo walianzisha mauzo ya vitu mtandaoni kama Jumia, kupatana zimekuwa kimya.

Nchi yetu hapa ilipo matumizi ya technology bado yako chini sana, Biashara zinazolipa kwa sasa ni chakula, maji, nishati, makazi (nyumba za kupanga).

Mavazi, viatu na vitu vya thamani (jeweries) bado ni optional kwa Mtanzania sio vitu vya lazima.

Kuwa tajiri Tanzania ni kufanya biashara wanazofanya mapatel (Bakressa, dewji).
Technology simply ni advancement of the existing processes. Kwa hiyo kwa mataifa mengi ya Afrika yamedandia Treni kwa mbele.. huwezi kufocus kwenye tech wakati Hata hizo processes zenyewe huna to begin with..

Ukiangalia sehemu kubwa ya matajiri wakubwa Duniani wamekaa sehemu tatu.. moja Money supply (Banking, Insurance,no) pili Assets (Viwanda, Mashamba, Real estate) na Tatu Facilitation (Aviation, Shipping, Online markets etc)

Ukitoa nje ya hayo makundi matatu hakuna unafanya.. unatafuta tu ule ..ufe uende. Maana Wanaocontrol pesa (money flow) wanataka assets zinazozalisha wakawekeze huko...na wenye assets wataka namna ya kufikia Masoko kwa haraka. NA wingi. Ukiwa nje ya mlinganyo wewe unakuwepo tu.

So tech huku kwetu ni mpaka mifumo ya trade isimame haswa na ufocus kwenye makundi hayo matatu au at least long term goal iwe Kati ya hayo ndio utafanikisha.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jeff hakomai chochote tena. Ni upepo wa mahitaji unamfanya ale. Yani hakuna breakthrough ya maana amefanya, huyu ndo billionaire kwenye list ambaye hana pressure sana.
Hawa kina wamiliki wa Tesla lazima wakomae sana kutoa product innovative kila mwaka. Imagine mtu kama Page au Sergei Brin, lazima watoe matoleo kibao ya Google wahangaike. Ila Amazon inafanya changes na ofa ambazo si za kuumiza kichwa kabisa.
kukoma ni lazima we unafikiri mpaka mke ameomba talaka si jambo dogo..
 
kukoma ni lazima we unafikiri mpaka mke ameomba talaka si jambo dogo..
Matajiri hawapo romantic au hawana muda sana na mapenzi. Tafuta mke wa Mark Zuckeberg kisha tazama mpenzi wa Elon Musk uone. Huyo Musk mwenyewe ana talaka kama tatu na watoto watano tofauti.
Mke wa Jeff kuomba talaka inaweza tokea kwa yeyote yule. Kwanza $30 billion alizopata zinamtosha sana kuamua kuishi mwenyewe.
 
Technology simply ni advancement of the existing processes. Kwa hiyo kwa mataifa mengi ya Afrika yamedandia Treni kwa mbele.. huwezi kufocus kwenye tech wakati Hata hizo processes zenyewe huna to begin with..

Ukiangalia sehemu kubwa ya matajiri wakubwa Duniani wamekaa sehemu tatu.. moja Money supply (Banking, Insurance,no) pili Assets (Viwanda, Mashamba, Real estate) na Tatu Facilitation (Aviation, Shipping, Online markets etc)

Ukitoa nje ya hayo makundi matatu hakuna unafanya.. unatafuta tu ule ..ufe uende. Maana Wanaocontrol pesa (money flow) wanataka assets zinazozalisha wakawekeze huko...na wenye assets wataka namna ya kufikia Masoko kwa haraka. NA wingi. Ukiwa nje ya mlinganyo wewe unakuwepo tu.

So tech huku kwetu ni mpaka mifumo ya trade isimame haswa na ufocus kwenye makundi hayo matatu au at least long term goal iwe Kati ya hayo ndio utafanikisha.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu nimekupata ila nkwambie , hiuluze ukaja na solution ya tech ya kufanya jambo ambalolimeshidikana kwa jamii yetu unadhani hizo sababu ulizohainisha zitakuwa applied ndo maana nkasema nimekuelewa ila , ningeshauri uiwekee Conditions , mfano provided that haujagundua kitu kipya kwenye tech basi utatakiwa .... Hivyo
 
Matajiri hawapo romantic au hawana muda sana na mapenzi. Tafuta mke wa Mark Zuckeberg kisha tazama mpenzi wa Elon Musk uone. Huyo Musk mwenyewe ana talaka kama tatu na watoto watano tofauti.
Mke wa Jeff kuomba talaka inaweza tokea kwa yeyote yule. Kwanza $30 billion alizopata zinamtosha sana kuamua kuishi mwenyewe.
Hawa jamaa wengi ni choleric wanathamini money,power and status wanawake wanaoendana nao ni wa kutoka kundi la phlegmatic.
najaribu kuwaza
 
Back
Top Bottom