Matajiri 10 wa dunia, 9 ni wa Marekani mmoja Mfaransa

Matajiri 10 wa dunia, 9 ni wa Marekani mmoja Mfaransa

Kwhy ukiambiwa GSM tajiri au Bakhresa kumbe roho inakuuma,..mbn una roho ya ajabu sanaa kamwe uislam hutokuja kuujua vzr
Ndo mana'ke mwenyezimungu anajinasibu ktk Quran suala la riziki lipo juu yake na habagui wa kumpa..
Asa iweje uhoji utajiri wa mtu kwa misingi ya dini?..hebu nenda hapo Zimbabwe ukaone wakristo wenzio wanavyoishi.
Si wana mwamini kristo?...kwa nini wapate shida na kudhalilika?..na mwenyezimungu huyu tunaye mwamini sie waislam habagui pakuleta dhiki na maradhi na majanga yanii shari
point
 
Matajiri kumi wa dunia, 9 ni wa MAREKANI mmoja MFARANSA

Products zao zinajulikana. Hapo kuna google, Microsoft, Tesla, space x, Apple nk.

Je, na wao wanachapisha mi dollar. Tuache kushupaza shingo, eti USA wana print dollar.

View attachment 3019229
Ndoa ni mafi ya fisi ona Bill alivyoshuka
 
Achana na hiyo list wewe! Hii wanazuga tu!
Matajiri wa kweli wapo na ndio wameshika uchumi wa dunia kwa 100%
 
Back
Top Bottom