Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Matajir wap wanatumia elimu?Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.
Wakuu ninyi mnasemaje.
Ni kweli hasa yule kijana wakuitwa Mwezi wa kwanza Marope atatusua kwa style hio!Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.
Wakuu ninyi mnasemaje.
Au vijisentUnazungumza utajiri hasa au hela ya mboga?
Matajiri wa bongo wanauza sabuni, mafuta ya kupikia, soda, mchele, maji ya kunywa, biscuits, juice ni shida.Mleta uzi angalia komenti za wadau. Inaonekana uzi wako ni materialless. Hakuna hata mdau aliyeongezea idadi ya matajiri.
Threadless
Sent using Jamii Forums mobile app
Januari Makamba fuvu la Scania ubongo wa TOYO miguu mitatu...!Ni kweli hasa yule kijana wakuitwa Mwezi wa kwanza Marope atatusua kwa style hio!
Uhalali unapimwa aje, na kujiridhisha vipi?Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.
1. ELON MUSK
Bachelor of Physics
Bachelor of Economics.
Utajiri wake aliupata baada ya kuuza program aliyobuni wakati anasoma
2.
3.
4.
5.
Tuendelee kuwataja.
πππππππJamaa anazingua sana katika umbile ambalo hutegemeiJanuari Makamba fuvu la Scania ubongo wa TOYO miguu mitatu...!
Kwa wasiojua lugha ya picha: huwa mwonekano wake wa nje kama akina Obama, ila ndani kabisa ya ubongo wake bora Kingwendu mara 1000
1. Mtume na Nabii Boniface Mwamposa (BA Degree in Co-ops, SUA Ushirika-Campus-Moshi). He is Makonda's class/room mate. He also holds PhD Honorary Causa in Theology.Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.
1. ELON MUSK
Bachelor of Physics
Bachelor of Economics.
Utajiri wake aliupata baada ya kuuza program aliyobuni wakati anasoma
2.
3.
4.
5.
Tuendelee kuwataja.
Ana digrii?2.Daimond platinumz chibudee waaah-saffiiiiih
Elimu dunia Mtaalam wa kuimba ifinyie kwa ndani, huo mnazi unakatika & napiga yope