Matajiri halali wa dunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha

Matajiri halali wa dunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha

Wacha janja janja we jamaa

Hao unaowataja wametajirika kwa kupitia elimu, je unayajua maisha yao behind the carpet?.

Unayajua maisha yao nje ya media?.

Je labda walikuwa ndio wale wa kuuza ngada before and other illegal business?.

Kama huyajui maisha yao basi si vema kuleta shuhuda zao humu.

Wengi wa hawa matajir, maisha yao yamejawa ushenz na ushetan wa hali ya juu, na wanafanya haya yote ili kumantain ushindani wa masoko na wateja wao, pia kuweka stability ya ushawishi wao, ni lazima njama haramu zenye kuwapa Nguvu zitumike.

Kama hujui intelligensia ya biashara kamwe huwezi kuelewa kipi namaanisha hapa.

Hao wote mpka kufikia level hizo kuna mengi wameyapitia na mengi wanayafunika kupitia wanaharamia wao ambao ndio hubeba madhaifu yao na makosa yao kwa niaba.

Ktk dunia hiii hakuna kinyonge na chema kinachoweza kuwaongoza mamilioni ya watu ambao ndani yao kuna kila aina ya tabia chafu na mashindikanaa.

Tutafuteni pesa maana si kila pesa ni chafu lkn mujuwe kila pesa uionayo imepitia aina zote za utafutaji, iwe biashara ndogo ndogo za halali ama ujambazi, uuuzaji madawa ya kulevya, human trafficking, madawa ya kufunga vizazi&akili, na mengineyo mengi.

Pesa upatayo na kuishika iheshimu sana, maana imepita kila aina za biashara

Nikipata time naweza kuweka Short stories kuwahusu hao mabilionea mnaotamba nao, ni jinsi gani waliweza kufikia level hizo mpka wanaheshimika, kuna janja janja nying sana zmefanyika ambazo kuzihusisha na Elimu uo ni Upumbavu maana ktk elimu jambo la utu&ushindani limebase katika Haki tu,

mfano ebu jiulize huyo mmiliki wa mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram&Whatsapp Si yeye aliyegundua hii mitandao , lkn unajuwa kwanini mpaka sas hizi social media zote zipo chini yake na umiliki wake halali?

.
1643298511850.jpg
 
Bill Lugano huyu ana MBA na pia ni PhD holder baadhi ya wasifu wake kwa ufupi.
Alianza nursary na Primary school huko Morogoro International School na baadae alijiunga na shule ya upili katika shule ya International School of Tanganyika (IST) huko dar es salaam baada ya hapo wazazi wake walienda kuishi Wingereza hivyo huko Wingereza alienda kusoma stashahada ya psychology katika chuo kikuu cha machester na baada yeye alienda Oxford university kuchukua shahada ya usimamizi wa biashara na baadae kajiunga na chuo kikuu cha Harvard kuchukua tena shahada nyingine ya computer science tena aliendelea na masomo ya biashara katika chuo kikuu cha Cambridge huko alipata shahada ya uzamili (master degree in business administration).

Baada ya hapo alichukua majukumu ya kuisaka Phd katika chuo kikuu cha London huko ndiko alifanya research and publication na baadae alirudi kuwa mhadhiri mwandamizi katika chuo kikuu cha Makerere Nchini Uganda alifanya kazi kwa muda wa miaka 6 na aliacha kazi sababu mshahara wake ulikuwa chini ya Tshs milioni 10 na hapo alipata shavu Nchini Korea na kupata nafasi ya kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya LG na hapo ndipo alitoa mchango wa pesa na mawazo kwa Maxence Melo ili kuwe na jukwaa kwa mjibu wa kiduku lilo a.k.a Bill Lugano alitoa Million 500 kwa melo.

Baadae aliacha kazi LG na kuanzisha makampuni yake zaidi ya 4 tena yenye mpunga mkubwa kwa sasa Bill Lugano ana jumla ya utajiri wa thamani ya shilingi $98.6B na ni mmiliki wa lebo kubwa yenye wasanii kama Civilian Coin a.k.a Dj Don nalimison na pia za chinichini kiduku lilo ndiye mwenye hisa nyingi katika televisheni ya Kasomi TV
 
Matajiri halali wadunia wanaotumia elimu za darasani kujitajirisha.

1. ELON MUSK
Bachelor of Physics
Bachelor of Economics.
Utajiri wake aliupata baada ya kuuza program aliyobuni wakati anasoma
2.
3.
4.
5.

Tuendelee kuwataja.
Hivi kwa matajiri wa vyanzo vya elimu, utamtajaje Elin Musk na kumsahau Bill Gate, au siyo shabiki wake?
 
1. Mtume na Nabii Boniface Mwamposa.
2. Mtume na Nabii Geo Davie.
3. Mtume na Nabii Josephat Mwingira.

Ana digrii?
Tunazungumzia matajiri wa hii dunia.
Hivi kwa matajiri wa vyanzo vya elimu, utamtajaje Elin Musk na kumsahau Bill Gate, au siyo shabiki wake?
Elon anaenda na vitu alivyovisomea, physics na hesabu
 
Bill Lugano huyu ana MBA na pia ni PhD holder baadhi ya wasifu wake kwa ufupi.
Alianza nursary na Primary school huko Morogoro International School na baadae alijiunga na shule ya upili katika shule ya International School of Tanganyika (IST) huko dar es salaam baada ya hapo wazazi wake walienda kuishi Wingereza hivyo huko Wingereza alienda kusoma stashahada ya psychology katika chuo kikuu cha machester na baada yeye alienda Oxford university kuchukua shahada ya usimamizi wa biashara na baadae kajiunga na chuo kikuu cha Harvard kuchukua tena shahada nyingine ya computer science tena aliendelea na masomo ya biashara katika chuo kikuu cha Cambridge huko alipata shahada ya uzamili (master degree in business administration).

Baada ya hapo alichukua majukumu ya kuisaka Phd katika chuo kikuu cha London huko ndiko alifanya research and publication na baadae alirudi kuwa mhadhiri mwandamizi katika chuo kikuu cha Makerere Nchini Uganda alifanya kazi kwa muda wa miaka 6 na aliacha kazi sababu mshahara wake ulikuwa chini ya Tshs milioni 10 na hapo alipata shavu Nchini Korea na kupata nafasi ya kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya LG na hapo ndipo alitoa mchango wa pesa na mawazo kwa Maxence Melo ili kuwe na jukwaa kwa mjibu wa kiduku lilo a.k.a Bill Lugano alitoa Million 500 kwa melo.

Baadae aliacha kazi LG na kuanzisha makampuni yake zaidi ya 4 tena yenye mpunga mkubwa kwa sasa Bill Lugano ana jumla ya utajiri wa thamani ya shilingi $98.6B na ni mmiliki wa lebo kubwa yenye wasanii kama Civilian Coin a.k.a Dj Don nalimison na pia za chinichini kiduku lilo ndiye mwenye hisa nyingi katika televisheni ya Kasomi TV
Can Maxence Melo accept or deny this so that perspectives can balance.
KWANI BILIONI 20 ZIKO WAPI NA MCHANGANUO WA PESA ZETU ZA UWANJA MBONA HATUUPATI?
Kwahiyo tupunguze kwenye utajiri wake hizo 20 bl anazodaiwa alafu tuone kwenye orodha ya Forbes ataendelea kuwemo au la!
 
Matajiri wa bongo wanauza sabuni, mafuta ya kupikia, soda, mchele, maji ya kunywa, biscuits, juice ni shida.
Hivo vitu wanavyouza vipi vinatoka kuzimu au vinatengenezwa VIWANDANI ambako ndo hiyo elimu inatumika? Pole Sana hii mada Haina mashiko.Hata hiyo simu unayoitumia ni matokeo ya elimu .
 
Wacha janja janja we jamaa

Hao unaowataja wametajirika kwa kupitia elimu, je unayajua maisha yao behind the carpet?.

Unayajua maisha yao nje ya media?.

Je labda walikuwa ndio wale wa kuuza ngada before and other illegal business?.

Kama huyajui maisha yao basi si vema kuleta shuhuda zao humu.

Wengi wa hawa matajir, maisha yao yamejawa ushenz na ushetan wa hali ya juu, na wanafanya haya yote ili kumantain ushindani wa masoko na wateja wao, pia kuweka stability ya ushawishi wao, ni lazima njama haramu zenye kuwapa Nguvu zitumike.

Kama hujui intelligensia ya biashara kamwe huwezi kuelewa kipi namaanisha hapa.

Hao wote mpka kufikia level hizo kuna mengi wameyapitia na mengi wanayafunika kupitia wanaharamia wao ambao ndio hubeba madhaifu yao na makosa yao kwa niaba.

Ktk dunia hiii hakuna kinyonge na chema kinachoweza kuwaongoza mamilioni ya watu ambao ndani yao kuna kila aina ya tabia chafu na mashindikanaa.

Tutafuteni pesa maana si kila pesa ni chafu lkn mujuwe kila pesa uionayo imepitia aina zote za utafutaji, iwe biashara ndogo ndogo za halali ama ujambazi, uuuzaji madawa ya kulevya, human trafficking, madawa ya kufunga vizazi&akili, na mengineyo mengi.

Pesa upatayo na kuishika iheshimu sana, maana imepita kila aina za biashara

Nikipata time naweza kuweka Short stories kuwahusu hao mabilionea mnaotamba nao, ni jinsi gani waliweza kufikia level hizo mpka wanaheshimika, kuna janja janja nying sana zmefanyika ambazo kuzihusisha na Elimu uo ni Upumbavu maana ktk elimu jambo la utu&ushindani limebase katika Haki tu,

mfano ebu jiulize huyo mmiliki wa mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram&Whatsapp Si yeye aliyegundua hii mitandao , lkn unajuwa kwanini mpaka sas hizi social media zote zipo chini yake na umiliki wake halali?

.View attachment 2097769
Mkuu unaweza kushare na sisi kitabu chochote kinachochambua hizo issue kama unacho.
 
Kwahiyo tupunguze kwenye utajiri wake hizo 20 bl anazodaiwa alafu tuone kwenye orodha ya Forbes ataendelea kuwemo au la!

Kwenye money management deni linatakiwa kulipwa kila apatapo profit na katika profit hiyo pesa itakayolipa deni haizidi 20% na hakuna mahakama unaweza kumpeleka umlazimishe kulipa deni lolote kwa pamoja hata kama unamwona anahela vipi. Unamdai wewe lakini unatakiwa ukae kwa kutulia atakulipa anavyotaka.
 
Can Maxence Melo accept or deny this so that perspectives can balance.

Kwahiyo tupunguze kwenye utajiri wake hizo 20 bl anazodaiwa alafu tuone kwenye orodha ya Forbes ataendelea kuwemo au la!
Nazani ataipuzia tu maana atagundua kuwa hazina tija kwake.
 
Back
Top Bottom