Tetesi: Matajiri kuhama Bongo..

Tetesi: Matajiri kuhama Bongo..

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Ni hakika hamjakula, na kama mmekula basi hamjashiba.

Ni taarifa kutoka ktk kijiwe kongwe kati ya jiji la Dar es salaam kwamba kutokana na sinto
fahamu ya kiuchumi ndani ya uchumi wa ndani na nje.

Jeuri ya decision makers,kila mtu kutafuta sifa aonekane ni mfanyaji kazi,pia mamlaka kujizidishia mamlaka na kuwa kero kwa wafanyi baashara;Zim jini lake haliko mbali..

TRA ni kero namba 1..hata kama una haki hakuna atakaye kusikiliza wanakusingizia mchana kweupe ulipe kitu ambacho si stahili yao...na pia hawana muda wa kusikiliza kilio chako,tena kwa sasa wamepewa fursa ya kuchukua rushwa pasi na hofu na mifano ippo wazi.utalipa mil 20 manake tumekupunguzia toka mil.80....lakini kimsingi unatakiwa kulipa mil7.matha fantaaa.

Mangi anafungasha...tena kwa sasa hayupo Bongo....Mpemba nae hayupo bongo kesha fungasha kitambo ila machine zanguruma kumalizia material na msimu...kina mangi haooo nchumbiji.

wakinga wanaenda kwa papaa.

Uchunguu.
 
Hahahahahah! Wahamie mjini Alepo kabisa maana huko hakuna kulipa kodi kabisa,
upload_2016-11-17_13-30-46-png.435490
 

Attachments

  • upload_2016-11-17_13-30-46.png
    upload_2016-11-17_13-30-46.png
    81.8 KB · Views: 183
Hii inaweza ikawa perfect opportunity kwetu sisi wajasiriamali wenye njaa tunaoibukia
Wakisepa hao wataacha vacuum kubwa sokoni ambalo sisi ndio tutakuja kujaza, mambo yakienda vizuri....
Pole sana mangi Na mpemba wameshindwa utamuweza Bora ata mpemba Na mangi wanasikilizwa Na ndugu zetu wenye jengo la ubungo wakaitwa mashetani kisa uwajamfikishia moto mpemba sasa wewe una ubavu gani Wa kusababisha ata dawa siko waitwe majini
 
Mkuu wa nchi kesha sema, wafanyabiashara wasio lipa kodi hawataki huku.
bora waende tu hawana faida hao.
 
Ni hakika hamjakula, na kama mmekula basi hamjashiba.

Ni taarifa kutoka ktk kijiwe kongwe kati ya jiji la Dar es salaam kwamba kutokana na sinto
fahamu ya kiuchumi ndani ya uchumi wa ndani na nje.

Jeuri ya decision makers,kila mtu kutafuta sifa aonekane ni mfanyaji kazi,pia mamlaka kujizidishia mamlaka na kuwa kero kwa wafanyi baashara;Zim jini lake haliko mbali..

TRA ni kero namba 1..hata kama una haki hakuna atakaye kusikiliza wanakusingizia mchana kweupe ulipe kitu ambacho si stahili yao...na pia hawana muda wa kusikiliza kilio chako,tena kwa sasa wamepewa fursa ya kuchukua rushwa pasi na hofu na mifano ippo wazi.utalipa mil 20 manake tumekupunguzia toka mil.80....lakini kimsingi unatakiwa kulipa mil7.matha fantaaa.

Mangi anafungasha...tena kwa sasa hayupo Bongo....Mpemba nae hayupo bongo kesha fungasha kitambo ila machine zanguruma kumalizia material na msimu...kina mangi haooo nchumbiji.

wakinga wanaenda kwa papaa.

Uchunguu.
vipi kwani, wanaisoma namba? na bado, hadi 2020 watakuwa wameshamfahamu mkulu.
 
Hii inaweza ikawa perfect opportunity kwetu sisi wajasiriamali wenye njaa tunaoibukia
Wakisepa hao wataacha vacuum kubwa sokoni ambalo sisi ndio tutakuja kujaza, mambo yakienda vizuri....
Mjasirimali mdogo huna nafasi katika hii nchi,unabisha?kamuulize mmachinga na Bodaboda?au Wauza megenge wa Mbezi,walio kuwa wakiemea Mabibo,vitu vyao wanavibebea wapi sasa hivi?
 
Nani kakuambia kuwa tajiri wa Tanzania ana ubavu wa kufanya biashara nje ya Tanzania? Hakuna nchi rafiki kwa biashara kama bongo
Kwa sasa sio rafiki tena.
Angalau Rw
 
Pole sana mangi Na mpemba wameshindwa utamuweza Bora ata mpemba Na mangi wanasikilizwa Na ndugu zetu wenye jengo la ubungo wakaitwa mashetani kisa uwajamfikishia moto mpemba sasa wewe una ubavu gani Wa kusababisha ata dawa siko waitwe majini
Miamba inapoangushwa mkuu inakua ni faida kwa emerging competitors mkuu, japo inaweza kuwa sio kipindi hiki cha Magu, ni muda wa kujiandaa na capital na kusikilizia
 
Hii inaweza ikawa perfect opportunity kwetu sisi wajasiriamali wenye njaa tunaoibukia
Wakisepa hao wataacha vacuum kubwa sokoni ambalo sisi ndio tutakuja kujaza, mambo yakienda vizuri....
kweli kabisa kaka mm mwenyewe nafikiria kuamia dar nakuja na plan ya kufungua flame wilaya zote tatu ..flame za mazao ya chakula like.mchele,sembe,magarage coz nazalisha mm mwenyewe
 
Mjasirimali mdogo huna nafasi katika hii nchi,unabisha?kamuulize mmachinga na Bodaboda?au Wauza megenge wa Mbezi,walio kuwa wakiemea Mabibo,vitu vyao wanavibebea wapi sasa hivi?
Hao hawatoki kutokana na mambo mengi, ila jambo kubwa hawana nidhamu ya kazi wala hawana mipango na ambition
mama ntilie mchafu mchafu, boda boda mlevi hao usitegemee watoke
 
Hao hawatoki kutokana na mambo mengi, ila jambo kubwa hawana nidhamu ya kazi wala hawana mipango na ambition
mama ntilie mchafu mchafu, boda boda mlevi hao usitegemee watoke
umesoma mpaka darasa la ngapi?am sorry ila am doupting na uwezo wako wakufikili?unageneralize,thats no good way of reasoning,haya wewe unafanya biashara gani?naniambie sera ya nchi kuhusiana na hicho unachokifanya?
 
Mjasirimali mdogo huna nafasi katika hii nchi,unabisha?kamuulize mmachinga na Bodaboda?au Wauza megenge wa Mbezi,walio kuwa wakiemea Mabibo,vitu vyao wanavibebea wapi sasa hivi?
Kwahiyo akili yako inakutuma mjasiriamali mdogo ni machinga pekee?
 
Back
Top Bottom