Kila mwenye nia njema ya kuisaidia Yanga aonane na kocha wa Yanga amweleze ni mchezaji gani anahitaji nini kama hatuwaamini viongozi waliopo. Tusisubiri kuhangaika na wanaogomea mechi, it will be too late to help.
Hii itasaidia kudumisha umoja ndani ya clab na miongoni mwa wachezaji
Wauze tickets 1000 kwa shs milioni moja kila ticket.
Hizo ziwe tickets za kuangalia mechi yeyote Ya Yanga Dar es SALAAM (Mchina. chamazi. uhuru) kwa mwaka mmoja.
Tickets ziwe zimenunuliwa kabla ya March,31 na pia utapata merchandises kama vile Jerseys na nembo zingine za Yanga.
Mimi nitanunua moja.