kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila mwenye nia njema ya kuisaidia Yanga aonane na kocha wa Yanga amweleze ni mchezaji gani anahitaji nini kama hatuwaamini viongozi waliopo. Tusisubiri kuhangaika na wanaogomea mechi, it will be too late to help.
Hii itasaidia kudumisha umoja ndani ya clab na miongoni mwa wachezaji
Hii itasaidia kudumisha umoja ndani ya clab na miongoni mwa wachezaji