Matajiri wa asili ya Tanzania

Matajiri wa asili ya Tanzania

KiwandaniTz

Member
Joined
Jan 8, 2019
Posts
44
Reaction score
38
JF najuwa kuna watu mnauwezo wa kufikiria sana. Poleni na majukumu yote. Poleni kwa wote mnao pitia kipindi kigumu cha maisha na changamoto za kiafya mungu awepe wepesi.

MADA KUU.
Hivi kwa nini matajiri wengi asilia yao sio watanzania , Top 10 ya matajiri Tanzania wapo wawili tu,wengine hao asili yao ni waarabu na wahindi tu .

Wakati ukiangalia sisi wazawa ndio tunamiliki rasilimali nyingi sana na vyanzo vya hela lakini bado tunatupwa mbali sana.
hata matajiri wetu wa kati unakuja yeye ni tajiri lakini ndugu ni maskini wa kutupwa .

Swali.
SISI TUNAKOSEA WAPI ?JE TUFANYEJE ILI TUWE VINARA?
AU UNA MAONI TOFAUTI TUAMBIE .

TOA MAONI YAKO TUJITAMBUE.
 
Duniani kote hili ni jambo la kawaida wasiokuwa na asili ya hapo kuendelea kwa utajiri ni jambo la kawaida sana
Wahamiaji wanapoingia popote jambo la kwanza ni kutaka kujifanyia biashara yoyote ambayo itamuingizia kipato

Haiwezekani akatafuta kazi ambazo wenyeji wanazifanya za kuajiriwa au kuingia siasa au kibarua
Unapokuja kwenye nchi tofauti unaona fursa zilizopo na rahisi zaidi ni biashara yoyote
Ukiangalia nchi nyingi duniani matajiri wakubwa ni wahamiaji na sisi ndio sasa tumeanza kubadilika na kuiga maana miaka ya nyuma maduka mengi na biashara zote zilikuwa za wakuja tu
 
Duniani kote hili ni jambo la kawaida wasiokuwa na asili ya hapo kuendelea kwa utajiri ni jambo la kawaida sana
Wahamiaji wanapoingia popote jambo la kwanza ni kutaka kujifanyia biashara yoyote ambayo itamuingizia kipato

Haiwezekani akatafuta kazi ambazo wenyeji wanazifanya za kuajiriwa au kuingia siasa au kibarua
Unapokuja kwenye nchi tofauti unaona fursa zilizopo na rahisi zaidi ni biashara yoyote
Ukiangalia nchi nyingi duniani matajiri wakubwa ni wahamiaji na sisi ndio sasa tumeanza kubadilika na kuiga maana miaka ya nyuma maduka mengi na biashara zote zilikuwa za wakuja tu
sawa mkuu
 
JF najuwa kuna watu mnauwezo wa kufikiria sana. Poleni na majukumu yote. Poleni kwa wote mnao pitia kipindi kigumu cha maisha na changamoto za kiafya mungu awepe wepesi.

MADA KUU.
Hivi kwa nini matajiri wengi asilia yao sio watanzania , Top 10 ya matajiri Tanzania wapo wawili tu,wengine hao asili yao ni waarabu na wahindi tu .

Wakati ukiangalia sisi wazawa ndio tunamiliki rasilimali nyingi sana na vyanzo vya hela lakini bado tunatupwa mbali sana.
hata matajiri wetu wa kati unakuja yeye ni tajiri lakini ndugu ni maskini wa kutupwa .

Swali.
SISI TUNAKOSEA WAPI ?JE TUFANYEJE ILI TUWE VINARA?
AU UNA MAONI TOFAUTI TUAMBIE .

TOA MAONI YAKO TUJITAMBUE.
Utajiri unafuata fikra za mtu. Mtu mwenye fikra duni anakuwa limited mahali fulani. Kiwango cha fikra kinaakisi kiwango cha utajiri. Ndio maana hata duniani matajiri wakubwa ni wazungu tena wa Amerika au Ulaya, wazungu wa Amerika kusini na Asia, halafu wengine kama wajapani, wachina na wahindi halafu waafrika.

Hata Afrika matajiri wakubwa wanatoka Afrika Kusini na Nigeria.

Hapa Tanzania wanaanzia Wahindi, waarabu, wachagga na wengine wanafuata. Ukingalia wanakotoka watu hawa kuna-akisi status yao ya utajiri. Ndivyo kanuni ilivyo hata kama hupendi.
 
Nikupe jibu.Nyerere na sokoine awakutaka watz wawe matajiri walipoleta sera za ujamaa kwa kuzitaifisha Mali za watz,kuwapa kesi za uhujumu uchumi waliokuwa na Mali lengo kuu lilikuwa ni kuwafanya wawe masikini ili waweze kutawala.Ukisoma historia ya mkoloni wapo weusi wengi tu walikuwa na mali mkoloni hakuwa na shida na mswahili kumiliki Mali.

Sera za ujamaa ziliwafanya watu waaminishwe kuwa tajiri ni dhambi umasikini ni uzalendo copy na paste na idea ya kuwashusha matajiri wawe masikini,kukaza vyuma, kusomeshwa namba nk zote ni ideology za ujamaa.India ilikuwa ni koloni la Muingereza hivo aliwaleta east Africa yaani alianzia Kenya na Uganda tz alikuwepo mjerumani Kama mainjinia wa kujenga reli, viwanda na miundombinu mingine,hivo mjerumani alipofurushwa na Muingereza nchini akawatumia wahindi Kama alivowatumia Kenya na Uganda.

Wahindi walipofika Africa mashariki tuseme tz waliikuta Mali wakaanza biashara ya usafirishaji,kuuza bidhaa, viwanda vidogovidogo,za majengo nk wakawa matajiri kumbuka wao ujasilimali walianza tangu miaka ya 200 iliyopita.Baada ya Uhuru waafrika, waarabu, wahindi waliendelea na shughuli zao za biashara nk.

Yalipokuja mabadiliko ya kutakiwa uchumi usishikwe na watu binafsi Bali dola ili iwe rahisi kuwatawala watu.Hao matajiri walio wajanja waliwahi kuukimbiza mitaji yao nje ya nchi ili wasifirisiwe kwa waswahili ikawa ngumu waliofanikiwa ni wachaga wao walizikimbizia utajiri wao Kenya ili wasifirisiwe waliokosa nafasi sababu ya mazingira ya umbali wa nchi jirani wao walifilisiwa.Alipoingia Mzee wa ruksa watu wakiwa hoi wamepigika kiuchumi.

Ndipo waliokimbia nje wakairudisha nchini mitaji yao hasa toka Kenya wakapiga utajiri wa kutosha kwa kuingiza bidhaa toka wakakuta kuna demand ya bidhaa nchini hatari.

Ndo kina Mengi wakaanza kuchomozachomoza,na wachaga wakaanza kutajirika kwenye biashara ya mabus,malori,maduka, hotel nk.Huku wahindi na waarabu wakiingiza mitaji yao nchi ambayo waliikimbiza nje.
 
Mwanza, Tanzania

TAJIRI ANAMILIKI ZAIDI YA MALORI 100 : Episode 1

Mr. Jonex Joel Kinyanyi asimulia alivyofanikiwa. Ni Mkurugenzi wa Kampuni ya TAXAS HARDWARE LIMITED kwa sasa anamiliki Malori zaidi ya 100 ana magari kibao ya kifahari



Source: NiccoMedia
 
Nikupe jibu.Nyerere na sokoine awakutaka watz wawe matajiri walipoleta sera za ujamaa kwa kuzitaifisha Mali za watz,kuwapa kesi za uhujumu uchumi waliokuwa na Mali lengo kuu lilikuwa ni kuwafanya wawe masikini ili waweze kutawala.Ukisoma historia ya mkoloni wapo weusi wengi tu walikuwa na mali mkoloni hakuwa na shida na mswahili kumiliki Mali.

Sera za ujamaa ziliwafanya watu waaminishwe kuwa tajiri ni dhambi umasikini ni uzalendo copy na paste na idea ya kuwashusha matajiri wawe masikini,kukaza vyuma, kusomeshwa namba nk zote ni ideology za ujamaa.India ilikuwa ni koloni la Muingereza hivo aliwaleta east Africa yaani alianzia Kenya na Uganda tz alikuwepo mjerumani Kama mainjinia wa kujenga reli, viwanda na miundombinu mingine,hivo mjerumani alipofurushwa na Muingereza nchini akawatumia wahindi Kama alivowatumia Kenya na Uganda.

Wahindi walipofika Africa mashariki tuseme tz waliikuta Mali wakaanza biashara ya usafirishaji,kuuza bidhaa, viwanda vidogovidogo,za majengo nk wakawa matajiri kumbuka wao ujasilimali walianza tangu miaka ya 200 iliyopita.Baada ya Uhuru waafrika, waarabu, wahindi waliendelea na shughuli zao za biashara nk.

Yalipokuja mabadiliko ya kutakiwa uchumi usishikwe na watu binafsi Bali dola ili iwe rahisi kuwatawala watu.Hao matajiri walio wajanja waliwahi kuukimbiza mitaji yao nje ya nchi ili wasifirisiwe kwa waswahili ikawa ngumu waliofanikiwa ni wachaga wao walizikimbizia utajiri wao Kenya ili wasifirisiwe waliokosa nafasi sababu ya mazingira ya umbali wa nchi jirani wao walifilisiwa.Alipoingia Mzee wa ruksa watu wakiwa hoi wamepigika kiuchumi.

Ndipo waliokimbia nje wakairudisha nchini mitaji yao hasa toka Kenya wakapiga utajiri wa kutosha kwa kuingiza bidhaa toka wakakuta kuna demand ya bidhaa nchini hatari.

Ndo kina Mengi wakaanza kuchomozachomoza,na wachaga wakaanza kutajirika kwenye biashara ya mabus,malori,maduka, hotel nk.Huku wahindi na waarabu wakiingiza mitaji yao nchi ambayo waliikimbiza nje.
Huo ujamaa uliwaathiri zaidi wahindi kuliko Wazawa, Muhimbili, Amana, Tambaza, Nyumba karibia zote za NHC na mali kibao zilikuwa za Kwao zikataifishwa, ila Pamoja na Hilo ujamaa ulivyoondoka wamerudi tena juu.

Jamaa wamejipanga, wana community strong, wanasoma kwa kuelewa, wanasaidiana etc
 
Mwanza, Tanzania

TAJIRI ANAMILIKI ZAIDI YA MALORI 100 : Episode 1

Mr. Jonex Joel Kinyanyi asimulia alivyofanikiwa. Ni Mkurugenzi wa Kampuni ya TAXAS HARDWARE LIMITED kwa sasa anamiliki Malori zaidi ya 100 ana magari kibao ya kifahari



Source: NiccoMedia

Malori 100 hata hayafikii "visenti" vya watu wengi tu.
 
JF najuwa kuna watu mnauwezo wa kufikiria sana. Poleni na majukumu yote. Poleni kwa wote mnao pitia kipindi kigumu cha maisha na changamoto za kiafya mungu awepe wepesi.

MADA KUU.
Hivi kwa nini matajiri wengi asilia yao sio watanzania , Top 10 ya matajiri Tanzania wapo wawili tu,wengine hao asili yao ni waarabu na wahindi tu .

Wakati ukiangalia sisi wazawa ndio tunamiliki rasilimali nyingi sana na vyanzo vya hela lakini bado tunatupwa mbali sana.
hata matajiri wetu wa kati unakuja yeye ni tajiri lakini ndugu ni maskini wa kutupwa .

Swali.
SISI TUNAKOSEA WAPI ?JE TUFANYEJE ILI TUWE VINARA?
AU UNA MAONI TOFAUTI TUAMBIE .

TOA MAONI YAKO TUJITAMBUE.
Pengine ulilenga matajiri wa level gani

1. Mmiliki wa Dar express ni tajiri
2. Abdalah Shehoza Tanga ni tajiri
3.Diamond tajiri
4.
 
Kishimba tajiri asiyejulikana / Nyumba ya Nyasi, Baiskeli na Daladala ndio Usafiri wake


Katika list ya wabunge 10 Matajiri huyu anaweza akashika Namba 1 Elimu yake ni Darasa la Saba. Ni mmiliki wa #darfreemarket na #lamadahotel na pia anamiliki viwanda ndani na nje ya Tanzania na pia ni mfanyabiashara mkubwa sana kwa Dodoma ana Nyumba zisizopungua 200 ambazo nazijua Mimi.Ila sasa cha kushangaza Usafiri wake mkubwa ni Tax, Daladala, na Bodaboda na pia akiwa Jimboni kwake mara nyingi hupenda kutumia Baiskeli. Toa maoni yake hapa kwa wanaopenda showoff

Source : Ngasa TV
 
Mwanza, Tanzania

TAJIRI ANAMILIKI ZAIDI YA MALORI 100 : Episode 1

Mr. Jonex Joel Kinyanyi asimulia alivyofanikiwa. Ni Mkurugenzi wa Kampuni ya TAXAS HARDWARE LIMITED kwa sasa anamiliki Malori zaidi ya 100 ana magari kibao ya kifahari



Source: NiccoMedia

Huyu jamaa kanifanyia nifikirie tofauti.
Hivi vibiashara vyangu ngoja nipambane navyo tu, siku moja nitampita
 
Kishimba tajiri asiyejulikana / Nyumba ya Nyasi, Baiskeli na Daladala ndio Usafiri wake


Katika list ya wabunge 10 Matajiri huyu anaweza akashika Namba 1 Elimu yake ni Darasa la Saba. Ni mmiliki wa #darfreemarket na #lamadahotel na pia anamiliki viwanda ndani na nje ya Tanzania na pia ni mfanyabiashara mkubwa sana kwa Dodoma ana Nyumba zisizopungua 200 ambazo nazijua Mimi.Ila sasa cha kushangaza Usafiri wake mkubwa ni Tax, Daladala, na Bodaboda na pia akiwa Jimboni kwake mara nyingi hupenda kutumia Baiskeli. Toa maoni yake hapa kwa wanaopenda showoff

Source : Ngasa TV

Nasikia utajiri wa huyu jamaa ni wa kiganga?
 
Back
Top Bottom