Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Imeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?

Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Naona tangu Lumumba buku 7 wakupige chini, siku hizi umekosa kabisa morale ya kumsifia meko
 
So what
20200604_083802.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko Imara tunapeperusha Madollar tuu
Soon tunaingia Forbes List
Video hapa Chini inaonesha Hustle zetu usiku na mchana yaan
 
Naomba namba yako ya simu kwa msaada zaidi
Ingia option.. Kisha click CASHIER. Kisha utaona sehem ya kudeposit kwa Card na chini yake kunasehem kumeandikwa AGENT.

Select hapo agent kisha utachagua agent ambaye utahitaji udeposit.

Fanya ivyo ukikwama nambie
 
Nimekwama nisaidie ndugu
Ingia option.. Kisha click CASHIER. Kisha utaona sehem ya kudeposit kwa Card na chini yake kunasehem kumeandikwa AGENT.

Select hapo agent kisha utachagua agent ambaye utahitaji udeposit.

Fanya ivyo ukikwama nambie
 
Professor umetukimbia kwenye uzi wetu
Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari.. kabla ya kufungwa jiwee baharini apigwe nyundo tatu za kichwa..
 
Back
Top Bottom