Matajiri wa malori msinyanyase madereva wenu

Matajiri wa malori msinyanyase madereva wenu

DON

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2008
Posts
1,030
Reaction score
700
Kuna matajiri wa malori wanapenda kuonea madereva wao hasa wanapowapa malori kupeleka mizigo nje ya nchi, kwanza malori yanabebeshwa mzigo mzito kuliko uwezo wake.

Dereva anapewa hela ya kuhonga mizani, na dereva akiishiwa diseli anashurutishwa anunue mwenyewe, na lori likiwa na overload linakula mafuta haswa kwenye milima.

Faraj wa FMS Tuangoma kuwa na huruma na madereva kwani wanateseka na masharti uliyoyaweka ilhali unajua mafuta unayowapatia hayatoshi kurudi Dar es Salaam kwa uzito huo wa tani unazozidisha. TANROADS, Weight and Measures na wahusika wengine fanyaeni uchunguzi wa kina juu ya hili.

Ni ukiukwaji wa haki za madereva. Hela yako unatumia kuwanyanyasa.
 
Kuna waajiiri wasiowatendea haki madereva wao, lakini pia kuna madereva wasio waaminifu kwa waajiiri wao, hasa katika suala la mafuta. Wengi wao ni wezi wa mafuta.

Siyo madereva wa magari madogo Wala makubwa, asilimia kubwa, hasa hapa Tanzania, wanaiba sana mafuta. Ukipita baadhi ya maene yanakopita magari ya masafa marefu, unaweza ukakutana na vijiwe vingi vikiwa na madumu matupu, wahusika wakiwasubiria madereva wasio waaminifu wawsuzie mafuta.

Madereva, "msiwanyanyase" waajiri wenu. Waajiri, "msiwatese" madereva wenu
 
Tanzania ndio inchi pekee ambayo Madreva wananyanyasika kuliko inchi yoyote Africa Mashariki na kalibia inchi zote zilizopo kusini mwa jangwa la sahara hii inasababishwa kwakiasi kikubwa nakinachosemwa sababu kuu ni viongozi wakuu serikalini. Kua wanahisa wakuu wamacapouny ya magari sijafanya uchunguzi ila naahidi kabla ya mwezi wa 5 huu kuisha ntawachambulia vizuli, ila tu fikili japo kidogo kua mishahala ya macompouni ya magari makubwa nchi kalibu zote za kusini mwa jangwa la Sahara hulipa kati ya Dora 250 hadi 300, yani kama Tsh 600000 hadi 700000, isipokua kwa hapa Tanzania ni Tsh 150000 hadi 350000. Hii ni mishahara, Maireji (pesa ya kujikimu safarini),ndio vilio zaidi. Namalizia utafiti ntakuja nauchambuzi mzuri kabla ya mwezi 6 .yani itakua tar 27 mwezi huu.
 
Kuna waajiiri wasiowatendea haki madereva wao, lakini pia kuna madereva wasio waaminifu kwa waajiiri wao, hasa katika suala la mafuta. Wengi wao ni wezi wa mafuta.

Siyo madereva wa magari madogo Wala makubwa, asilimia kubwa, hasa hapa Tanzania, wanaiba sana mafuta. Ukipita baadhi ya maene yanakopita magari ya masafa marefu, unaweza ukakutana na vijiwe vingi vikiwa na madumu matupu, wahusika wakiwasubiria madereva wasio waaminifu wawsuzie mafuta.

Madereva, "msiwanyanyase" waajiri wenu. Waajiri, "msiwatese" madereva wenu
Uko sahihi, je gari inatumia lita ngapi za diesel kwa safari yote Dar kwenda Kitwe, na umezidisha tani 5 za mzigo kuliko capacity ya gari.
 
Usiteswe na kazi ulosomea tafuta kazi kwingine sio ma boss wote wana roho mbaya.
Watanzania hawajitambui
Watanzania hawatambui kuwa hicho chombo anachoendesha kuna mtu katoa pesa au kakopa ili kuiingize pesa.

Mtanzania ataiba mafuta, vipuri, mizigo ili ajikimu, wakati kazi kaomba kwa kunyenyekea sana


Ukiwa mmiliki wa chombo cha usafiri, iwe Baiskeli au Ndege usipokuwa katili hutapata pesa yako kamwe
 
Habari ndugu zangu Mimi Ni mhitimu nimemaliza hapa Morogoro chuo kikuu Cha kilimo SUA, nyumbani ni mwanza lakini nimepata kibarua Cha kufanya Wakati nikusubiri kupata cheti changu
Hivyo nimeona ni Bora niende dar kujitafuta kuliko kurudi mwanza lakini changamoto yangu ni USAFIRI wa kwenda dar natakiwa nisafiri na vitu vyangu vya kuanzia maisha na Nina shilingi elfu thelathini tu (30,000) naomba Kama Kuna madereva wanaopita Moro na kuelekea mtwala mala nyingi upita chanika nipate msaada
Nina godoro 5×6, meza na viti, baskeli na vyombo

Ntashukuru Kama nitapata msaada namba yangu ni 0628852919
 
Kuna matajiri wa malori wanapenda kuonea madereva wao hasa wanapowapa malori kupeleka mizigo nje ya nchi, kwanza malori yana bebeshwa mzigo mzito kuliko uwezo wake...
Habari ndugu zangu Mimi Ni mhitimu nimemaliza hapa Morogoro chuo kikuu Cha kilimo SUA, nyumbani ni mwanza lakini nimepata kibarua Cha kufanya Wakati nikusubiri kupata cheti changu.

Hivyo nimeona ni Bora niende Dar kujitafuta kuliko kurudi mwanza lakini changamoto yangu ni USAFIRI wa kwenda Dar natakiwa nisafiri na vitu vyangu vya kuanzia maisha na Nina shilingi elfu thelathini tu (30,000) naomba Kama Kuna madereva wanaopita Moro na kuelekea mtwala mala nyingi upita chanika nipate msaada
Nina godoro 5×6, meza na viti, baskeli na vyombo

Ntashukuru Kama nitapata msaada namba yangu ni 0628852919
 
Watanzania hawajitambui
Watanzania hawatambui kuwa hicho chombo anachoendesha kuna mtu katoa pesa au kakopa ili kuiingize pesa.

Mtanzania ataiba mafuta, vipuri, mizigo ili ajikimu, wakati kazi kaomba kwa kunyenyekea sana


Ukiwa mmiliki wa chombo cha usafiri, iwe Baiskeli au Ndege usipokuwa katili hutapata pesa yako kamwe
Uwe mkali anayetawaliwa na upendo, lakini usiwe katili. Namaanisha, simamia sheria na kanuni kikamilifu bila kuangalia sura, ila usiruhusu ukatili.
 
Tanzania ndio inchi pekee ambayo Madreva wananyanyasika kuliko inchi yoyote Africa Mashariki na kalibia inchi zote zilizopo kusini mwa jangwa la sahara hii inasababishwa kwakiasi kikubwa nakinachosemwa sababu kuu ni viongozi wakuu serikalini. Kua wanahisa wakuu wamacapouny ya magari sijafanya uchunguzi ila naahidi kabla ya mwezi wa 5 huu kuisha ntawachambulia vizuli, ila tu fikili japo kidogo kua mishahala ya macompouni ya magari makubwa nchi kalibu zote za kusini mwa jangwa la Sahara hulipa kati ya Dora 250 hadi 300, yani kama Tsh 600000 hadi 700000, isipokua kwa hapa Tanzania ni Tsh 150000 hadi 350000. Hii ni mishahara, Maireji (pesa ya kujikimu safarini),ndio vilio zaidi. Namalizia utafiti ntakuja nauchambuzi mzuri kabla ya mwezi 6 .yani itakua tar 27 mwezi huu.
Kama umemaliza uchunguzi wako naomba unitag
 
Back
Top Bottom