Matakwa na matamanio ya wananchi ndiyo chanzo cha kupanda kwa matumizi ya serikali na kodi za kuyahimili

Matakwa na matamanio ya wananchi ndiyo chanzo cha kupanda kwa matumizi ya serikali na kodi za kuyahimili

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Sera na sheria ni matokeo ya matakwa na matamanio ya wananchi. Na siku zote ongezeko la kodi na tozo ni linaaksi majibu ya serikali yenye lengo la kuyafikia matakwa na matamanio ya wananchi wake. Hali hii inakuwa mbaya zaidi katika siasa za ushindani.

Leo kuna kelele nyingi za kutukubaliana na serikali iliyoanzisha tozo ya mshikamano hata pale serikali inaposema kuwa inataka kuongeza uwezo wa kutoa huduma za maji na afya na kuboresha miundo mbinu ya barabara.

Swali la kujiuliza ni moja- hivi si kweli kwamba tunataka huduma bora za maji, afya na barabara?
 
Mbona huongelei mashangingi na misafar yenye magari mengi ya anasa kuwa yanapandisha gharama za uendeshaji, kisha kuwapa mzigo wakodi na tozo wananchi?
 
Sera na sheria ni matokeo ya matakwa na matamanio ya wananchi. Na siku zote ongezeko la kodi na tozo ni linaaksi majibu ya serikali yenye lengo la kuyafikia matakwa na matamanio ya wananchi wake. Hali hii inakuwa mbaya zaidi katika siasa za ushindani.

Leo kuna kelele nyingi za kutukubaliana na serikali iliyoanzisha toz o ya mshikamano hata pale serikali inaposema kuwa inataka kuongeza uwezo wa kutoa huduma za maji na afya na kuboresha miundo mbinu ya barabara.

Swali la kujiuliza ni moja- hivi si kweli kwamba tunataka huduma bora za maji, afya na barabara?
Huwezi kushusha bei pombe halafu ukapandasha bei zile huduma muhimu zinamuathiri kila mwananchi moja kwa moja halafu unasema unatimiza matamanio ya wananchi.
 
Sera na sheria ni matokeo ya matakwa na matamanio ya wananchi. Na siku zote ongezeko la kodi na tozo ni linaaksi majibu ya serikali yenye lengo la kuyafikia matakwa na matamanio ya wananchi wake. Hali hii inakuwa mbaya zaidi katika siasa za ushindani.

Leo kuna kelele nyingi za kutukubaliana na serikali iliyoanzisha tozo ya mshikamano hata pale serikali inaposema kuwa inataka kuongeza uwezo wa kutoa huduma za maji na afya na kuboresha miundo mbinu ya barabara.

Swali la kujiuliza ni moja- hivi si kweli kwamba tunataka huduma bora za maji, afya na barabara?
Swali la kukuuliza wewe na wenzio ni kwamba nchi yenye madini yote, gase,moto, maziwa na kila aina ya rasilimali inawezaje kumkamua mpaka bibi yangu kijijini kwa kisingizio cha maendeleo ? Ati matamanio ya wananchi!
Hovyo kabisa wewe matarajio ya wananchi alikuwepo tangu uhuru. Mmeshindwa hata kujenga matundu ya vyeo vya shule za msingi mtaweza leo kupitia simu????
Porojo hizo!
 
Sera na sheria ni matokeo ya matakwa na matamanio ya wananchi. Na siku zote ongezeko la kodi na tozo ni linaaksi majibu ya serikali yenye lengo la kuyafikia matakwa na matamanio ya wananchi wake. Hali hii inakuwa mbaya zaidi katika siasa za ushindani.

Leo kuna kelele nyingi za kutukubaliana na serikali iliyoanzisha tozo ya mshikamano hata pale serikali inaposema kuwa inataka kuongeza uwezo wa kutoa huduma za maji na afya na kuboresha miundo mbinu ya barabara.

Swali la kujiuliza ni moja- hivi si kweli kwamba tunataka huduma bora za maji, afya na barabara?
Wapo wazungu watatusaidia kupata hizo huduma
 
Swali la kukuuliza wewe na wenzio ni kwamba nchi yenye madini yote, gase,moto, maziwa na kila aina ya rasilimali inawezaje kumkamua mpaka bibi yangu kijijini kwa kisingizio cha maendeleo ? Ati matamanio ya wananchi!
Hovyo kabisa wewe matarajio ya wananchi alikuwepo tangu uhuru. Mmeshindwa hata kujenga matundu ya vyeo vya shule za msingi mtaweza leo kupitia simu????
Porojo hizo!
Nyie wenye kujifanya mna mawazo makubwa , mkipewa madaraka mnaishia kuwa kama Mlevi Chalamila aliyekuwa RC wa Mwanza
 
Sokoine alikuwa anatembea kwa ViTS ? Yupo wapi?
Lile chizi lilikuwa unatembea na mi vi mpaka uzio wa kulinda mikutano yake liko wapi
Mahusiano ya maendleo ya watu na v8 ninini?????
Mfano wako ni mbingu na ardhi
 
Huwezi kushusha bei pombe halafu ukapandasha bei zile huduma muhimu zinamuathiri kila mwananchi moja kwa moja halafu unasema unatimiza matamanio ya wananchi.
wewe unaona wanywa pombe ndio wachangie tu wewe mlevi wa mitandao uachwe siyo?
 
Swali la kukuuliza wewe na wenzio ni kwamba nchi yenye madini yote, gase,moto, maziwa na kila aina ya rasilimali inawezaje kumkamua mpaka bibi yangu kijijini kwa kisingizio cha maendeleo ? Ati matamanio ya wananchi!
Hovyo kabisa wewe matarajio ya wananchi alikuwepo tangu uhuru. Mmeshindwa hata kujenga matundu ya vyeo vya shule za msingi mtaweza leo kupitia simu????
Porojo hizo!
Mkuu ukitaka kutukwepa kaa mbali na hela
 
Nyie wenye kujifanya mna mawazo makubwa , mkipewa madaraka mnaishia kuwa kama Mlevi Chalamila aliyekuwa RC wa Mwanza
Huyo chalamila alishakuaga na mawazo makubwa kwa ajili ya ustawi wa nchi kabla hajapewa hiyo nafasi?.maana kwa haraka haraka sidhani.
 
Back
Top Bottom