hapo penye bold da pearl, mi labda nimeumbwa kivingine. mi siku ya kuolewa ikifika kama sijapata mchumba nitatafuta mwenyewe na nikimpata nitamwambia lote lililomo moyoni na akilini mwangu yule nitakayeona ananifaa na nitamuencourage na kumuongoza hadi tufunge ndoa. kwa kweli mi sina udhaifu wa kusubiri kuambiwa kwanza nanaamini si kukiuka maadili maadam ninalenga kufunga ndoa ambayo hakuna maadili yanayoikataza. siwezi kuwa mtumwa na wakati Mungu kishaniweka huru
tila tuongee ukweli, ukikutana na mwanamke ukishaiona reception lazima utataka uone uani pakoje then unatoa maksi kimoyo moyo..! siitaji maswali nawasilisha
Aaaaah mi nina aleji na hilo fulushi mmmh
Hili lisredi lilinipitaje asee?
aaaah pole Aspirin ila ht hujachelewa......
miguuu kama ya nsajigwa.
Sasa 2my hiyo avatar yako unaniruhusu nianzishe sredi ya "Matamanio ya mwanaume kitandani?"
Ni ombi tu waweza kubali au kataa.... I have fallen in love with it...damn! nazeeka vibaya asee!
Ubaya ni kwamba unaweza kupata alafu matamanio yakahamia kwa vimbau mbau lol
wewe tu fidel anzisha
afu cdhani km unazeeka vibaya ni mtizamo wako tu........
Name calling....mimi siitwi Fidel.
Mimi ni Babu Asprin aka Big braza ODM....mutu ya maneno mingi bila utendaji...
Umeona sasa Asprin anaomba matamanio ya kitandani
Umeona sasa Asprin anaomba matamanio ya kitandani
Gym gani?? Ya miguu peke yake?? Halafu kama mchina fulani hivi maana haviendani kabisa mwili wake na hilo sebene