Matambiko sio Ushetani

Tunahitaji uzi mkuu andaa uzi washika day wajifunze...watu wabushi sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yeah yote ni matambiko..Shida inakuja kwenye kafara za binadamu na masharti ya ajabu ajabu... ndio maana baadhi ya wazee wetu walihamia kwenye dini za ibrahimu.. lakini kila mtu atambike anavyoona ina faida kwake.
 
Ww mlokole
 
Maelezo yako ni kulingana na mtazamo wako tu.

Unaposema...
ibada halali ni ya mungu mmoja tu aliyeumba mbingu na nchi
Huu uhalali unatokea wapi na umejuaje kuwa ibada ya halali ni ya Mungu mmoja pekee.

Umeupima wapi uhalali huo na nani aliyekuhalalishia.

Wanaotambika siyo ibada halali? Kama siyo halali nani anawanyima huo uhalali.
Ni kweli mizimu ipo na miungu mingine ipo lakini anayestahili kuabudiwa Ni Mungu mmoja tu .
Hii ni kulingana na imani yako tu, hata wao wanaoabudu miungu mingi nao uhalali wao wanaupata kulingana na mafundisho yao. Kwahyo uhalali wao unatokana na point ya marejeleo ya mafundisho yao.

Mkikutana hzo pande mbili (mnaoabudu Mungu mmoja na waabuduo miungu mingi) hamuwezi elewana maana kila mmoja atapuuza cha mwenzake.

Unajua kuwa Mungu wako nae amekuwa categorized kwenye kundi la miungu ukienda kwenye jamii nyingine isiyomuamini?

Imani za wengine naomba mzitambue kwa heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…