Mpentecoste
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 283
- 319
Tunahitaji uzi mkuu andaa uzi washika day wajifunze...watu wabushi sanaNdio maana nakwambia wewe to naandika kitu usichokijua na Sina muda wa kuandika story ndefu hapa,
Haya mambo ya matambiko sisi wenzako tumeishi nayo na tumeyafanya kwa zaidi ya miaka 30, sio mambo ya kusema "rudi kwa wazee wako!" Au "tambika kwa kitoroma au kiarabu!" Sisi tumepractise hayo mambo kwa miaka na miaka na tunayajua nje ndani, na hao wazee unao wasema ndio walikuwa makasisi wakuu wakuongoza ibada hizo mbovu!
Tukaona madhara yake makubwa na mabaya yakutusha sana! Tena yakutisha mno! Usichukulie poa! Tukakimbia mbio! Sasa wewe either umeyasoma au kuyasikia mahali ukaamua kuyapa support kwakuwa huyajui kiuhalisia na kiundani wake! Wenzako wako huko wanataka kujitoa wanashindwa! Huko ni kifungo kibaya sana! Ni utumwa mbaya mno! Usisikie!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app