Matamshi ya Mh. Kassim Majaliwa kuhusiana na Bwawa la Umeme la Nyerere

PM Majaliwa alisema kweli, hata VP Samia pia alisema hivyo hivyo, JPM alikuwa mzima akipiga job, mara akaugua ghafla na kufa ghafla.

Umeme wa Stigler utawaka ufikapo mwezi Juni , 2022!.
Amini nakuambia.
P

Na alipoongea vile umma wa wana Instagram na faceebook ulimwamini ingawa twitter na jf haukumwelewa kabisa.
 
Haaminiki tena, anastahili kujiuzulu
 
PM Majaliwa alisema kweli, hata VP Samia pia alisema hivyo hivyo, JPM alikuwa mzima akipiga job, mara akaugua ghafla na kufa ghafla.

Umeme wa Stigler utawaka ufikapo mwezi Juni , 2022!.
Amini nakuambia.
P
Kuna nafasi gani wazi kwani maana naona Pascal unapambana kweli.
 
..huyu pm si wa kumwamini kabisa ..huyu aliweza kudanganya umma kuhusu aliko JPM hawezi kushindwa kudanganya Kwa mambo mengine...hawa ndio wasaka fursa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…