Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh, sisi tunamaanisha matamshi ya wenye lugha yao bhana, hiz habari za kila mtu na lafudhi yake tuweke pembeni kwanza.View attachment 1720739
"Foneksi" matamshi inategemea na lafudhi yako.
We umeipata wapi hii?Foneksi
Namaanishi hivi mkuuMh, sisi tunamaanisha matamshi ya wenye lugha yao bhana, hiz habari za kila mtu na lafudhi yake tuweke pembeni kwanza.
Kingereza kimeanzia Britain, so we go with it or US kwasababu US's English is also widely used.Namaanishi hivi mkuu
Various English language dialects from around the world.
- British English. ...
- American English. ...
- Australian English. ...
- Canadian English. ...
- Indian English. ...
- Philippine English. ...
- Ugandan English.
Una uhakika bwana kimaryo? Hebu Karibu kuchungulia hata Wikipedia kuhusu historia ya hiyo lughaKingereza kimeanzia Britain, so we go with it or US kwasababu US's English is also widely used.
We unazungumzia lugha zilizochangia (kopesha) maneno ya kingereza kwa wingi, mi nazungumzia simply taifa lililoanza kuzungumza kingereza cha kwanza kilichoanza kuimarikaUna uhakika bwana kimaryo? Hebu Karibu kuchungulia hata Wikipedia kuhusu historia ya hiyo lugha
Kiukwel tangu zama za baiskeli za Phoenix hadi leo kwenye browser ya Phoenix nilikuwa bado natamka "foneksi" badala ya "finaksi" au "fineksi" kwa baadhi ya watumiaji wengine wa English.
Na Phoenix ni ndege wa maajabu kulingana na urban dictionary
phoenix
[fēniks]
NOUN
(in classical mythology) a unique bird that lived for five or six centuries in the Arabian desert, after this time burning itself on a funeral pyre and rising from the ashes with renewed youth to live through another cycle.
a person or thing regarded as uniquely remarkable in some respect.
Braza usifanye vitu kwa vile unataka wewe, fuata pronunciation zaoHiyo inatamkwa "Foniksi" na wala sio "Finiksi", angalia neno Philosophy linatamkwa Filosofii, hapo kuna herufi phi---- lakini kwenye Phoenix kuna Pho-- sasa iweje "pho" itamkwe Fi kama kwenye phi-- ya Filosofii???
Hao wazungu wasituburuze hapa. Mimi nitaendelea kutamka; Foniksi na hapo nipo sahihi.
Braza usifanye vitu kwa vile unataka wewe, fuata pronunciation zao
Mi tokea napata akili mpaka nazeeka natamka 'foneksi',wacha tu niendelee kutamka hivyohivyo nisije nikatukana bure...Kiukwel tangu zama za baiskeli za Phoenix hadi leo kwenye browser ya Phoenix nilikuwa bado natamka "foneksi" badala ya "finaksi" au "fineksi" kwa baadhi ya watumiaji wengine wa English.
Na Phoenix ni ndege wa maajabu kulingana na urban dictionary
phoenix
[fēniks]
NOUN
(in classical mythology) a unique bird that lived for five or six centuries in the Arabian desert, after this time burning itself on a funeral pyre and rising from the ashes with renewed youth to live through another cycle.
a person or thing regarded as uniquely remarkable in some respect.
Braza, yawezekana kwa kiswahili tafsiri yake ni FONEKSI ila kwa kingereza inatamkwa "fineksi"Mi tokea napata akili mpaka nazeeka natamka 'foneksi',wacha tu niendelee kutamka hivyohivyo nisije nikatukana bure...
Hayo ni matamshi kwa kiswahili yanayo tamkwa na Mswahili.We umeipata wapi hii?
Mh mwende dm tena, mnaenda kugawiana keki au?Nidm sasa