Matangazo (advertisement) makali ya kwenye TV

Matangazo (advertisement) makali ya kwenye TV

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)

Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)

Baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati. Mwenye mke akabaki anashangaa.
 
Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)

Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)

baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati.
mwenye mke akabaki anashangaa
Mbona tangazo lenyewe halina hata uhalisia.
 
"Aspen King Size, unastahili kilicho bora zaidi."

Hili tangazo la sigara za Aspen miaka ile ya 2000s ha 2004 lilikua tangazo zuuri sana ambalo kila likirushwa unatamani kuliangalia

Tangazo jingine lililotubamba sana Wabongo ni kutoka hapo Kenya la marehemu Bi Gladys Wakesho na sabuni ya OMO la "ukitaka kujua uhondo wa ngoma na uingie ucheze"
 
Matangazo yote yatapita ila CHAI JABA litabaki kileleni mazee. Hivi CHAI JABA walifeli wapi mbona walipiga pesa sana.
 
Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)

Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)

Baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati. Mwenye mke akabaki anashangaa.
Una chaja lile la airtel
Na lile la enzi zile la "Tueleze siri ya mafanikio yako, siyo siri ni revola... " miaka ya 1999
 
Tangazo la seven up
Una chaja lile la airtel
Na lile la enzi zile la "Tueleze siri ya mafanikio yako, siyo siri ni revola... " miaka ya 1999
nasikia yake matangazo yalikua yanatengenezewa Africa Kusini, tz tulikua hatuwezi
 
Tangazo la seven up

nasikia yake matangazo yalikua yanatengenezewa Africa Kusini, tz tulikua hatuwezi
Yes matangazo yalikuwa yanatengenezwa huko sisi tulikuwa bado sana hatujafika level hizo...
 
Back
Top Bottom