hahhahahaa, yule jamaa anafaidi sana aiseeNdo nimeitumia bhabaa
Haha sanaahahhahahaa, yule jamaa anafaidi sana aisee
Mbona tangazo lenyewe halina hata uhalisia.Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)
Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)
baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati.
mwenye mke akabaki anashangaa
Kweli, sababu bajeti yake ni kubwa..na matangazo ya hovyo ni ya magodoro except ya tanfoamMatangazo ya pombe mengi huwa ni mazuri
Mimi naitwa JAMBO KUBWA, na wewe je?Tangazo la lotion ya jambo,kuna Jambo kubwa ya kati na ndogo kila mmoja anajitambulisha kwa kuimba na kukatika kwa wakati wake,Yule wa mwisho anasema Mimi naitwa jambo mdogo[emoji3]
Una chaja lile la airtelTangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)
Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)
Baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati. Mwenye mke akabaki anashangaa.
Yes matangazo yalikuwa yanatengenezwa huko sisi tulikuwa bado sana hatujafika level hizo...Tangazo la seven up
nasikia yake matangazo yalikua yanatengenezewa Africa Kusini, tz tulikua hatuwezi