Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Tangu saa tano asubuhi matangazo ya kisimbusi cha Azam Tv huku kwetu ukonga ayapatikaniki channel zote sielewi kwa sababu gani?
Ikiwa mwezi huu nimelipia 28,000 salio la mwezi nzima, sasa huku kama wateja wa hii kampuni tunajiuliza kulikoni au mzee
Bakhressa kachukia baada ya baadhi ya channel kufutwa kwenye kisimbusi chake cha Azam Tv Malumbano yao yanatuumiza sisi wateja na watanzania kwa ujumla
NAWASILISHA kwa niaba ya wateja wote tunaotumia ving'amuzi vya Azam Tv,,,,,, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa mwezi huu nimelipia 28,000 salio la mwezi nzima, sasa huku kama wateja wa hii kampuni tunajiuliza kulikoni au mzee
Bakhressa kachukia baada ya baadhi ya channel kufutwa kwenye kisimbusi chake cha Azam Tv Malumbano yao yanatuumiza sisi wateja na watanzania kwa ujumla
NAWASILISHA kwa niaba ya wateja wote tunaotumia ving'amuzi vya Azam Tv,,,,,, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..
Sent using Jamii Forums mobile app