Matangazo Azam Tv ayapatikani!

Matangazo Azam Tv ayapatikani!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Tangu saa tano asubuhi matangazo ya kisimbusi cha Azam Tv huku kwetu ukonga ayapatikaniki channel zote sielewi kwa sababu gani?

Ikiwa mwezi huu nimelipia 28,000 salio la mwezi nzima, sasa huku kama wateja wa hii kampuni tunajiuliza kulikoni au mzee
Bakhressa kachukia baada ya baadhi ya channel kufutwa kwenye kisimbusi chake cha Azam Tv Malumbano yao yanatuumiza sisi wateja na watanzania kwa ujumla

NAWASILISHA kwa niaba ya wateja wote tunaotumia ving'amuzi vya Azam Tv,,,,,, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetoka kuangalia sultan azam 2 sasa hivi

Location site 3 Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado huku kama inavyo onekana hapo kwenye luninga
1535191820751.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
0784108000 azam customer care.
Wapigie uwaelezee shida yako watakuelekeza cha kufanya.
 
Back
Top Bottom