Matangazo mapenzini

Matangazo mapenzini

majoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
2,595
Reaction score
4,775
Sijui kwa upande wako ila kwa upande wangu sipendi kabisa matangazo pindi nikiwa na mpenzi. Fikiria siku mnaachana/mnamwagana utajisikiaje moyoni mwako au mbele za watu hasa unapoona picha au live action kutoka kwa x wako akiwa na new lover? .... kwa mfano hawa... ma x wao wanajisikiaje?
attachment.php
 
bahati mbaya hata hiyo image kwangu haifunguki nakosa uhondo wa mada
 
Teh teh tatizo ukiwa penzini hufikirii kuwa ipo siku yatafika mwisho....ikitokea ndo inakuwa aibu kwenu sasa
 
Aah wengine mapenzi ya siri hatuyawezi ati...Tukiachana basi, kwani tulizaliwa wote? Kwani sisi ndo wa kwanza kuachana?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwahiyo nisi tembee au kumuonyesha mpenzi wangu kwenye hadhara(public) kisa kuogopa kuachana?

Kuachana kupo tu na maumivu Yake ni yaleyale Hata kama utamficha.
 
ALIWAZALO MJINGA NDIO LINALOMTOKEA..........kwanini ufikirie kuachana badala ya kufikiria namna ya kudumisha penzi ili liote mizizi............
 
mi napenda kujiachia ukificha ficha unakaribisha nafasi ya michepuko watajua uko single au ye single mwishowe unajikuta umeachwa kwenye mataa uwe na mpenzi hata kushikana mikono barabarani unaogopa kisa?
 
mi napenda kujiachia ukificha ficha unakaribisha nafasi ya michepuko watajua uko single au ye single mwishowe unajikuta umeachwa kwenye mataa uwe na mpenzi hata kushikana mikono barabarani unaogopa kisa?

Kisa unaogopa kuachwaa...
 
Usiri au matangazo Inategemea na mtu uliyenae, stage mliyopo katika mapenzi, malengo ya mapenzi yenu.
 
Aaaaah bwana........mapenzi hayafichiki.........unaficha nini........YOLO........ikiisha tupa kule........mwingine atafuata........maisha lazima yaendelee..............
 
mi napenda kujiachia ukificha ficha unakaribisha nafasi ya michepuko watajua uko single au ye single mwishowe unajikuta umeachwa kwenye mataa uwe na mpenzi hata kushikana mikono barabarani unaogopa kisa?


Siogopi kuachwa..... nakwepa maumivu ya kuachwa yanauma asikwambie mtu
 
Aaaaah bwana........mapenzi hayafichiki.........unaficha nini........YOLO........ikiisha tupa kule........mwingine atafuata........maisha lazima yaendelee..............


heri yako Preta hebu nifundishe mbinu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom