Matangazo mapenzini

Matangazo mapenzini

Namsoma mkuu Preta...wazo langu lafanana na lako...Siri ya mapenz ni kwa laghai au wezi wa mapnz au kwa namna yoyote...kuna hila ndani yake.

Vya sirini ni vya wizi...japo wanasemaga penz la wiz ni tamuuu..but mpaka lini wew utakula huku unahofu???

Jiachie kwa sababu...na achia ngazi kwa sababu(za wazi na zinazokubalika na wengi).
 
Hayo maonyesho ya nanenane waachieni wanamauzo
 
Sijui kwa upande wako ila kwa upande wangu sipendi kabisa matangazo pindi nikiwa na mpenzi. Fikiria siku mnaachana/mnamwagana utajisikiaje moyoni mwako au mbele za watu hasa unapoona picha au live action kutoka kwa x wako akiwa na new lover? .... kwa mfano hawa... ma x wao wanajisikiaje?
attachment.php
Hahaha
 
Back
Top Bottom