lazma wakomae sana na matangazo mkuu huoni bakhresa anavyokimbiza na vinywaji vyake mtaani, kila mji ni azam kwa kwenda mbele, tena vinyaji vyake ni very cheap kabisa hadi vya sh 300 unapata. kwa hiyo coca lzma wakomae.
Ungekuwa Unajua Hata Azam Mwenyewe Anavyokimbizwa Na Mo Dewji Pamoja Na Wengine Kama Sayoni Usingemtaja Azam, Bakhera Kaanza Kutoka Hadharani Kupeleka Matangazo Hadi Clouds Unadhani Mchezolazma wakomae sana na matangazo mkuu huoni bakhresa anavyokimbiza na vinywaji vyake mtaani, kila mji ni azam kwa kwenda mbele, tena vinyaji vyake ni very cheap kabisa hadi vya sh 300 unapata. kwa hiyo coca lzma wakomae.
Mimi lile tangazo lao la watoto wananyang'anyana coke halafu yule mwingine anaibetua wakati mwenzake anakunywa silipendi kwelikweli, linaniogopesha sana maana watoto wanaweza kuiga halafu ikawa majanga soda ikipita mahali pasipo husika mwilini..yaani ni vile sina uwezo wa ku li edit tu.
Sio uoga mkuu lile tangazo lazima walifanyie marekebisho linaweza zua msiba kwa watoto wetu.Hahahahaa acha uoga
Nani anaujua ule wimbo kwenye tangazo au maneno wanayotamka nidaidieniSio uoga mkuu lile tangazo lazima walifanyie marekebisho linaweza zua msiba kwa watoto wetu.
SikamatikiNani anaujua ule wimbo kwenye tangazo au maneno wanayotamka nidaidieni
Mimi lile tangazo lao la watoto wananyang'anyana coke halafu yule mwingine anaibetua wakati mwenzake anakunywa silipendi kwelikweli, linaniogopesha sana maana watoto wanaweza kuiga halafu ikawa majanga soda ikipita mahali pasipo husika mwilini..yaani ni vile sina uwezo wa ku li edit tu.
mie lile nalipenda hatari....Mimi lile tangazo lao la watoto wananyang'anyana coke halafu yule mwingine anaibetua wakati mwenzake anakunywa silipendi kwelikweli, linaniogopesha sana maana watoto wanaweza kuiga halafu ikawa majanga soda ikipita mahali pasipo husika mwilini..yaani ni vile sina uwezo wa ku li edit tu.
Mi cpendi yule kijana mdogo anavyonyanyaswa na kaka yake!Mimi lile tangazo lao la watoto wananyang'anyana coke halafu yule mwingine anaibetua wakati mwenzake anakunywa silipendi kwelikweli, linaniogopesha sana maana watoto wanaweza kuiga halafu ikawa majanga soda ikipita mahali pasipo husika mwilini..yaani ni vile sina uwezo wa ku li edit tu.
Kwanini uwape watoto Soda hio?? Watoto yao Juice, hayo mavinywaji kunywa wewe mzee. Ndio maana afya zetu zinayumba miaka hii, mtoto ana miaka mitano alishakunywa coca kama lita 20 hivi?? Why??Sio uoga mkuu lile tangazo lazima walifanyie marekebisho linaweza zua msiba kwa watoto wetu.
Wanafanya matangazo kwa kuwatumia watoto na mambo wanayopenda kuyafanya ili wawavutie watoto wengine waiangazie soda yao.Lengo lao ni kuendelea kuikuza Brand yao.
Target ni watoto kuanzia Miaka 12 - 17
Hilo rika ni chambo, wanalitumia kuteka familia nzima.
Hey brother, there’s an endless road to re-discoverNani anaujua ule wimbo kwenye tangazo au maneno wanayotamka nidaidieni