Wakuu habari.
Niko nasikilizia hapa radio Free!. Kuna kipindi Cha mganga anajinadi kuwa kama una tatizo lolote yeye atakusaidia kulitatua kwa kupiga namba ya sim Aliyoitoa.
Anasema kama unashida na Hela, cheo yeye anaweza kukusaidia.
Najiuliza hapa nikienda kwa huyo mganga na nisifanikiwe shida yangu Kuna namna naweza kuwadai fidia Radio Free? Maana watakuwa wamehusika kunielekeza mtu ambaye sio sahihi.
Nawasilisha.
Niko nasikilizia hapa radio Free!. Kuna kipindi Cha mganga anajinadi kuwa kama una tatizo lolote yeye atakusaidia kulitatua kwa kupiga namba ya sim Aliyoitoa.
Anasema kama unashida na Hela, cheo yeye anaweza kukusaidia.
Najiuliza hapa nikienda kwa huyo mganga na nisifanikiwe shida yangu Kuna namna naweza kuwadai fidia Radio Free? Maana watakuwa wamehusika kunielekeza mtu ambaye sio sahihi.
Nawasilisha.