Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Bodi ya kusimamia michezo ya kubashiri nchini humo imepiga marufuku matangazo ya kuhamasisha michezo hiyo kuonekana kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku
Aidha, matangazo hayo yamezuiwa kutangazwa mitaani, kwenye runinga na mitandao ya kijamii kwa wakati huo
Watu mashuhuri wamezuiwa kutumika kuhamasisha michezo hiyo
Aidha, matangazo hayo yamezuiwa kutangazwa mitaani, kwenye runinga na mitandao ya kijamii kwa wakati huo
Watu mashuhuri wamezuiwa kutumika kuhamasisha michezo hiyo