Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia black list yangu utacheka,maana sitaki ujinga mimi.Mara sakokwabako,tatu mzuka,voda taarifa wote wamekula tofari.Hakuna usumbufu tena kwenye simu yangu.Report spam
Block
Report
🤔😑
Nimezipiga block zoteKuna matangazo ya sms mengi kila siku yanaingia kwenye simu yangu. Je, kuna namna naweza kuyadhibiti?
Msaada tafadhali, yananichosha.