Matangazo ya vifo yatolewe na ndugu na hati ya kifo iambatanishwe wakati wa kuposti JamiiForums

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Tuheshimu vifo vya watu ni ndugu tu waruhusiwe kuleta tangazo jamii forums na liambatanishwe na cheti cha kifo tusianze kuzuliana vifo humu na kukejeli marehemu

Uongozi Wa jamii forums zingatieni hill kifo huwa hakitangazwi kiholela tu
 
Tuheshimu vifo vya watu no ndugu tu waruhusiwe kuleta tangazo jamii forums na liambatanishwe na cheti cha kifo tusianze kuzuliana vifo humu na kukejeli matehemu

Uongozi Wa jamii forums zingatieni hill kifo huwa hakitangazwi kiholela tu
Punguza speed.
Kwani unakimbilia wapi?
Habari fupi hivi bado umeandika hovyo hivi?
Tulia andika kitu kinachoeleweka.
 
Tuheshimu vifo vya watu ni ndugu tu waruhusiwe kuleta tangazo jamii forums na liambatanishwe na cheti cha kifo tusianze kuzuliana vifo humu na kukejeli marehemu

Uongozi Wa jamii forums zingatieni hill kifo huwa hakitangazwi kiholela tu
Mkuu una wasiwasi wa nini?kifo chako tutakitangaza tu hata kama itakuwa ni tetesi
 
Hizi akili ndio zimepiga mkwara wabunge wa cdm waliopo karantine na zingine za kiusalama zinataka wajisalimishe polisi.

Kutoa taarifa ya kifo na kutangaza ugonjwa wa mtu hadharani kipi kibaya?
 
Mkuu una wasiwasi wa nini?kifo chako tutakitangaza tu hata kama itakuwa ni tetesi
Sio kila MTU hutaka kifo chake kitangazwe ndio maana sio watu wote hupeleka matangazo ya kifo radioni au vyombo vya habari na si kila MTU huhitaji kila MTU aende kwenye mazishi yake au apiite mbele ya jeneza lake for last respect wengine hawataki kabisa
So approval ya ndugu ni muhimu
 
Ushauri wangu naona ianzishwe
thread ya matangazo ya vifo peke yake maana hii sasa imekaa kiholela sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kusiweko na Thread ya hivyo. La sivyo hakutakua na maana ya 'habar na hoja mchanganyiko'.

Kama ni hivyo, watu wote wanaoleta visa vya mahusiano na maisha kiujumla lifunguliwe jukwaa moja waite 'jukwaa la mikasa'.

Kila habari ijitegemee.
 
Sisi kama wananzengo wa JF hatuangalii hayo,na kaa utambue ya kwamba marehu hana haki
 
Mwambie ndyungai aache kutangaza madeni ya watu Bungeni
 
Vyote vibaya kama huna approval ya ndugu Wa marehemu .Watangaze wenyewe au wakupe approval

RC alivyoropoka hadharani kuwa familia ya KUB kuna mgonjwa ilikua sawa?

Na Je, mbona miaka yote utamaduni wa kupashana habari za vifo umekua huu huu kwanini iwe nongwa sasa? Unamaoni yoyote kwanini ni tatizo kipindi hichi?

Umewahi kuona kwenye radio au matangazo ya magazeti wanaweka cheti cha kifo?
 
Punguza speed.
Kwani unakimbilia wapi?
Habari fupi hivi bado umeandika hovyo hivi?
Tulia andika kitu kinachoeleweka.
Hidaya ana wasi wasi mtatangaza kifo chake hali ya kwamba anataraji kufa bila nguo πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Au kuna ndugu yako katangulia na ametangazwa bila ridhaa yako mwenye msiba?
Ndio ninaye tena humu jamii forums watu tukiwa tunajipanga tutawaelezaje watoto na mjane tukifanya siri ili tujipange tuweke mambo sawa kwanza ndio tuwapelekee taarifa tunashtukia hilo limesharushwa jamii forums hata cheti cha marehemu hakijatoka

Wametusababishia inconvenience kubwa tu

Mambo ya matangazo ya vifo waachiwe ndugu .Mtu akifa yako mengi ya kujipanga kabla ya kurusha hewani
 
Kwahiyo kuna mtu anaweza msingizia nduguye au mtu yeyote anaemfahamu eti kafa? Ati cheti? Wewe unajua cheti kinachukuwa muda gani? Msichoshe watu bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…