Inachukua muda gani kupata cheti cha kifo? Mbona magazetini hawaambatishi cheti cha kifo?Ndio ninaye tena humu jamii forums watu tukiwa tunajipanga tutawaelezaje watoto na mjane tukifanya siri ili tujipange tuweke mambo sawa kwanza ndio tuwapelekee taarifa tunashtukia hilo limesharushwa jamii forums hata cheti cha marehemu hakijatoka
Wametusababishia inconvenience kubwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app