Hujakuta yale matangazo ya mtaani ambapo sentensi zimeunganishwa kutoa sentensi moja.
HAPATUNAUZASODANA MAJIBARIDI. huo ni fano, just visit mji mkongwe uchanike mbavu
hahahahaa! this is nice one, yani kwao wao, moshi ndo problem, basi wafuta bhange hapo ndo panawafaa, kwa mana wanameza moshi wooote kabisa.
Kuna ile ofisi ya Makamu wa Rais... Wao waiita AFISI YA MAKAMO WA RAIS... Kazi kwei kwei...
Yaani nyinyi wabara ambao mumejifunza kiswahili huko munakoita shuleni, ndiyo mumekuwa wabora kwa kiswahili kuliko wenyewe wenye lugha!
Ama kweli dunia imekwenda songombingo, kha!
Nina hakika hata hamujui maana ya hiyo mwembe mchomeke mutabaki kucheka tu.
Hapa leo nimecheka kweli wakuu...kuna mtaa eti unaitwa mwembe mchomeke..😱....kunatendaka nini hapo wajameni?
Gaadeem wazenji wangu leo mumeliwa!
Kibunango yuko wapi aje kutetea huu wazimu!
Kuna ile ofisi ya Makamu wa Rais... Wao waiita AFISI YA MAKAMO WA RAIS... Kazi kwei kwei...
na ukitaka kucheka zaidi hebu tupia jicho TVZ au TV zuzu yaani taarifa ya habari inasomwa na makame usi, repoter faki makame faki, eneo la tukio mwembe mchomeke, wilaya ya magharibi mkoa wa kusini unguja
wameathirika na lugha yao ya kipemba...hata kiingereza huwa wanachanganya hivyohivyo. international(inteneshino) wao husema internashonal'i), chemical(kemiko) wao husema Kemikal'i) yaani wanashika ile elo/L ya mwishoni hawaachii. professional (profesheno) wanasema profeshenal'i).
Unakutana na reporter anaripot toka Mchambawima
Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo
Hapa leo nimecheka kweli wakuu...kuna mtaa eti unaitwa mwembe mchomeke..😱....kunatendaka nini hapo wajameni?
Gaadeem wazenji wangu leo mumeliwa!
Kibunango yuko wapi aje kutetea huu wazimu!
Nilifika Zanzibar mwaka 1992 nikapita eneo moja kulikuwa na shule moja karibu na soko, kibao cha utambulisho wa shule hiyo kilikuwa kimeandikwa "SKULI YA MARIKITI" Sasa nikajisemea si bora tu wangeandika kiingereza Market Primary School? Sijui kama bado inaitwa hivyo au wamabadilisha, sijaenda tena, mwenye taarifa anaweza kunijibu.
Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo