Sasa wewe unadhani nimelitunga hilo jina, yaani hilo lipo, hebu cheki na hii orodha
1-MAKUNDUCHI
2- BWEJUU
3-KICHAKA PUNDA
4-KITOPE
5-KIBOJE
6-DARAJA BOVU UNASHUKA SKULI YA MTO PEPO
7-MTUNDANI
8-BINGUNI
7-KIEMBE SAMAKI
8-JIA LA UZI
9-MFEREJI MARINGO
10-TUNGUU
and so much more, ukiwa Zenj utacheka hadi ufariki maana kila kitu kwako wewe mbara ni kituko, cheki sentensi hii BWANA PANDU ABDALA SUDI KAMTOA MWANAE SKULI YA KIBONDENI KAMTIA DOLE- yaani mtoto kahamishwa kutoka shule ya kibondeni kapelekwa shuli ya dole kazi kwako sas, ktk gari ze2 zile mzuri nana maana mnatazamana mtu hushuka pale anapofika mlangoni kwake, utasikia WEYE KHEE NITIE HAPOOOO........................... inakutosha kwa leo