Matangazo youtube/Mitandaoni yanakera

Matangazo youtube/Mitandaoni yanakera

digodigo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
311
Reaction score
254
Kinachonisikitisha hivi kwa nini hivi sasa you tube haifai kuangalia na watoto, maana hakuna unachoweza kukiangalia kwa amani, najiuliza hata watoto wetu wanajifunza nini hasa.

Yaani unaweza kuwa unasearch kitu cha maana lakini utakayokutana nayo kama huna lengo maalumu unaweza usitimize au usifike kule unakokwenda na hali kadhalika kwenye face book na mitandao mingine hali ni hiyo hiyo matangazo au picha hata kama huna interest nazo lazima zijae

Najiuliza hata viongozi wa dini wanakwepa vipi haya majaribu zamani ilikuwa hadi utafute mwenyewe binafsi nazipongeza nchi kama Australia ambazo zinakwenda kupitisha muswada wa kuzuia watoto wenye umri wa chini ya miaka 16 kuwa na simu au kuperuzi mitandao isiyoeleweka mambo yako wazi sana na hakuna mahali eti hutayaona kama sio mahali tunapoishi basi mitandaoni je tufanyaje au tuishauri serikali ifanye nini kweli hizi zama ni za mwisho
 
Kinachonisikitisha hivi kwa nini hivi sasa you tube haifai kuangalia na watoto, maana hakuna unachoweza kukiangalia kwa amani, najiuliza hata watoto wetu wanajifunza nini hasa, yaani unaweza kuwa unasearch kitu cha maana lakini utakayokutana nayo kama huna lengo maalumu unaweza usitimize au usifike kule unakokwenda na hali kadhalika kwenye face book na mitandao mingine hali ni hiyo hiyo matangazo au picha hata kama huna interest nazo lazima zijae najiuliza hata viongozi wa dini wanakwepa vipi haya majaribu zamani ilikuwa hadi utafute mwenyewe binafsi nazipongeza nchi kama Australia ambazo zinakwenda kupitisha muswada wa kuzuia watoto wenye umri wa chini ya miaka 16 kuwa na simu au kuperuzi mitandao isiyoeleweka mambo yako wazi sana na hakuna mahali eti hutayaona kama sio mahali tunapoishi basi mitandaoni je tufanyaje au tuishauri serikali ifanye nini kweli hizi zama ni za mwisho
Youtube ni free platform, uki search elimu utapata elimu, uko search madudu ndio utakayopata.
Na hakuna mahali wanakulazimisha
 
Ukiona unapata free service ukajihisi ni fursa kwako jua watoa huduma wanakuona wewe ndio fursa.
Ukiona bado Application zako nyingi kwenye simu yako unaletewa matangazo mengi jua unapenda kutumia vitu vya bure.
YouTube wana premium package nzuri haina takataka hizo za matangazo ya hovyo...
YouTube wanalipa creators mabilioni ya pesa,hivyo lazima wawe na matangazo kwa ajili ya kutengenenza kipato...
 
Kinachonisikitisha hivi kwa nini hivi sasa you tube haifai kuangalia na watoto, maana hakuna unachoweza kukiangalia kwa amani, najiuliza hata watoto wetu wanajifunza nini hasa, yaani unaweza kuwa unasearch kitu cha maana lakini utakayokutana nayo kama huna lengo maalumu unaweza usitimize au usifike kule unakokwenda na hali kadhalika kwenye face book na mitandao mingine hali ni hiyo hiyo matangazo au picha hata kama huna interest nazo lazima zijae najiuliza hata viongozi wa dini wanakwepa vipi haya majaribu zamani ilikuwa hadi utafute mwenyewe binafsi nazipongeza nchi kama Australia ambazo zinakwenda kupitisha muswada wa kuzuia watoto wenye umri wa chini ya miaka 16 kuwa na simu au kuperuzi mitandao isiyoeleweka mambo yako wazi sana na hakuna mahali eti hutayaona kama sio mahali tunapoishi basi mitandaoni je tufanyaje au tuishauri serikali ifanye nini kweli hizi zama ni za mwisho
Kuna youtube ya watoto, sasa wewe kama unatazama youtube hii ya watu wazima ukiwa na watoto mwenye kosa ni wewe. Youtube ya watoto amtangazo yake ni matoys ya watoto mara nyingi.
 
Ukiona unapata free service ukajihisi ni fursa kwako jua watoa huduma wanakuona wewe ndio fursa.
Ukiona bado Application zako nyingi kwenye simu yako unaletewa matangazo mengi jua unapenda kutumia vitu vya bure.
YouTube wana premium package nzuri haina takataka hizo za matangazo ya hovyo...
YouTube wanalipa creators mabilioni ya pesa,hivyo lazima wawe na matangazo kwa ajili ya kutengenenza kipato...
Tunawasidiaje wasioweza kulipia premium service including mwanao au wale wasiokuwa na uwezo kulinusuru hili janga? hujatoa solution je wewe mfano una watoto ambao ni underage na wanatumia hii huduma unakubaliana au unamdhibiti vipi au unaweza kuwalipia hiyo premium service?
 
Mara nyingi matangazo yanaangalia vitu unavyopenda kuna algorithim kwahio kama ulishaangalia vitu vya ajabu au huwa unaangalia usishangae matangazo yakawa hao..., kwa wana dini nina uhakika wanapigwa matangazo ya dini
 
Kuna YT Kids (YouTube Kids). Kama una watoto waangalie hiyo. Kama wewe hupendi matangazo lipia.

Kama unasearch YT mbele ya watoto na unaona vitu vya ajabu hapo tatizo ni wewe. Acha kuangalia mambo ya ajabu na acha kulia lia.
Mimi nina free will ya kujua kipi naangalia au natafuta but mtoto wako?
 
Mara nyingi matangazo yanaangalia vitu unavyopenda kuna algorithim kwahio kama ulishaangalia vitu vya ajabu au huwa unaangalia usishangae matangazo yakawa hao..., kwa wana dini nina uhakika wanapigwa matangazo ya dini
Simu umenunua leo unaunga internet unaingia you tube hebu niambie hiyo algorithm imetambuaje?
 
Tunawasidiaje wasioweza kulipia premium service including mwanao au wale wasiokuwa na uwezo kulinusuru hili janga? hujatoa solution je wewe mfano una watoto ambao ni underage na wanatumia hii huduma unakubaliana au unamdhibiti vipi au unaweza kuwalipia hiyo premium service?
Aisee unapenda tu kulalamika we jamaa....
Yani uweze kununua data ya kustream youtube halafu ushindwe kulipia premium????

Acha hizo aisee
 
Lipia usipate matangazo kama ni kero.

Ila kama unataka bure unadhani wataendeshaje huduma?
 
Simu umenunua leo unaunga internet unaingia you tube hebu niambie hiyo algorithm imetambuaje?
Youtube haiangalii simu bali address yako na hayo matangazo kila yakiwa yanakuja ya ajabu ajabu una cancell / skip itajua unachopenda na sio youtube tu inaangalia hata searching yako Google (after all google ndio youtube)

Ni kama facebook alinunua WhatsApp kwa gharama kubwa sana na mpaka leo haimuingizii pesa bali inachompa ni your tastes hivyo rahisi kuwa targeted facebook na matangazo
 
Kinachonisikitisha hivi kwa nini hivi sasa you tube haifai kuangalia na watoto, maana hakuna unachoweza kukiangalia kwa amani, najiuliza hata watoto wetu wanajifunza nini hasa.

Yaani unaweza kuwa unasearch kitu cha maana lakini utakayokutana nayo kama huna lengo maalumu unaweza usitimize au usifike kule unakokwenda na hali kadhalika kwenye face book na mitandao mingine hali ni hiyo hiyo matangazo au picha hata kama huna interest nazo lazima zijae

Najiuliza hata viongozi wa dini wanakwepa vipi haya majaribu zamani ilikuwa hadi utafute mwenyewe binafsi nazipongeza nchi kama Australia ambazo zinakwenda kupitisha muswada wa kuzuia watoto wenye umri wa chini ya miaka 16 kuwa na simu au kuperuzi mitandao isiyoeleweka mambo yako wazi sana na hakuna mahali eti hutayaona kama sio mahali tunapoishi basi mitandaoni je tufanyaje au tuishauri serikali ifanye nini kweli hizi zama ni za mwisho
Ads zinakuja kulingana na matumizi yako.. acha kusearch mambo ya hovyo mtandaoni.
 
YouTube wana suggest kutokana na muenendo wako
 
Back
Top Bottom