Mwanakijiji: Umezoea kuendesha pikipiki mpaka mara yako ya kwanza kuendesha gari ulitoa mguu nje wakati unakata kona!!!
Hashy: nyinyi TV yenu ni ndogo mpaka iko na scrollbars..
Bucho: Wewe ni mwizi mpaka ukishikilia shilingi hamsini Nyerere anabaki na vest peke yake...
Ivuga: Mwangalie kwanza..unamatege na demu wako ana miguu pinde mpaka mkisimama pamoja mnaspell; "OX"
Njiwa: ndo maana mg'ombe wenu ni mzee mpaka anatoa maziwa mgando..
Gang Chomba: Nyinyi kwenu ni maskini mpaka mnakunywaga chai na vifuniko vya bic...lol!
ChiefmTz: Babu yako ni mzee mpaka chawa za kichwani kwake zi hutembea na bakora..
Papa mopao...si ni wewe ulinunua ball-gums ukapewa ya green ukarudisha ukisema haijaiva!!!Ivuga bwana kila nikikuchekesha unacheka kwa mlio ambao unafanana na sufuria inayodondoka sakafuni!
Alaf wewe Mentor ni mwepesi sana kuwa rafiki yangu lakini tatizo lako nikikushauri kula ugali na mboga unaanza kumalizia kwanza mboga zote alaf unakunywa ugali...
Papa mopao...si ni wewe ulinunua ball-gums ukapewa ya green ukarudisha ukisema haijaiva!!!
Aaak kumbeee wewe Mentor!! duh pole sana... Juzi nilikufuma Internet cafe London,ulimuagizia mzungu akuletee paper(maana ulitamka pepa) akakuletea pepper(pilipili)!!
we ni mjinga mpaka mara yako ya kwanza ku-nose bleed ulijifunga always kwenye pua!
we ni mjinga mpaka mara yako ya kwanza ku-nose bleed ulijifunga always kwenye pua!