Matani

Matani

mentor una mwanya mkubwa kama uchochoro wa kuingia mdomoni
 
Kwenu wafupi hata mkikalia piritoni miguu bado inaning'inia.

Kwenu wajinga mkitaka kula mkate mnaenda barabarani kusubiri jam.
 
A wapi hashy..usipunguze makali: yaani nyie ni maskini mpaka dadako badala ya kutumia 'always' ye hutumia 'sometimes'..lol![/QUOTE]

hapa nimekubali,.tihii tihhiiitihhiiii......
 
mentor usitudanganye yani kwenu mko wengi mpaka baba yanu hawajui majina huwaita wananchi
 
mentor usitudanganye yani kwenu mko wengi mpaka baba yanu hawajui majina huwaita wananchi

Snagy wewe ni mchoyo mpaka wewe huwa hau-update status facebook kisa tu imeandikwa "share"
 
Back
Top Bottom