Matani

Matani

Acha na mimi nijitose.....Mentor minazi inatingishika na upepo baba'ako na mama'ako wanajifundisha kucheza twist
twende twende....Ma*vi yanaelea baharini dad'ako anajifundisha kuogelea
 
Acha na mimi nijitose.....Mentor minazi inatingishika na upepo baba'ako na mama'ako wanajifundisha kucheza twist
twende twende....Ma*vi yanaelea baharini dad'ako anajifundisha kuogelea

a a a a...unajiamni kijana!

Muone kwanza, Bibi yako ni mzee, hadi yeye ndo alipikaga "The last supper"
Simu yako ni nzee mpaka imechanika phonebook!!!
 
a a a a...unajiamni kijana!

Muone kwanza, Bibi yako ni mzee, hadi yeye ndo alipikaga "The last supper"
Simu yako ni nzee mpaka imechanika phonebook!!!

duh! Kizimkazi umejitosa unaweza? Mdomo unatiririka utazani ni ferry inapakua abiria.

Demu wako ana kichwa kikubwa ukipanda nae daladala unaambiwa kijana lipia mzigo.
 
a a a a...unajiamni kijana!

Muone kwanza, Bibi yako ni mzee, hadi yeye ndo alipikaga "The last supper"
Simu yako ni nzee mpaka imechanika phonebook!!!

We mbona unapenda kuonea wenzako? We mbona miguu yako imepinda kiasi kwamba ukisimama unaonekana umechuchumaa lakini hatukusemi?
 
mentor umekomaa mikono paka ukishika mouse computer inasema "found new hadware".

 
kwenu ni weusi mpaka mmbu wakitaka kuwauma wanakuja na torch.
 
wewe ni mchoyo unakula usiku time minyoo wamelala
 
unamaskio makubwa paka ukiingia sitting tv yenu inashika Dstv!
 
Back
Top Bottom