una tembo card master card wewe au unatania tania wenzio hovyo?!
Ndo maana demu wako amekonda mpaka yeye huvaa pads na suspenders! HHAHAHAHA
Nyie MAANDAZI naombeni idhini nitolee kitabu haya matani ili niuage ukapera...no umaskini.
- ____- wewe ni mfupi hadi unaoga kwenye kifuniko cha soda.:smow:
We kitumbua mzima kweli!
Ndo maana ulilipa nusu ya hela baada ya kula 'halfcake'
na ww ucimuonee Babkey kwanza manzi ako yuko soo cheap kama callbox kiasi kwamba kila mwenye coin anaweza ku-use..!Haya andazi lisilo hamira.. we mjanja, unajisifu umekula hotelini ukakimbia bila kuosha vyombo.
Haya andazi lisilo hamira.. we mjanja, unajisifu umekula hotelini ukakimbia bila kuosha vyombo.