Matani


nasikia Mentor umo kwenye list ya most wanted Milembe hosptal
 
Ndo maana wewe ni mweusi hadi nikifungua picha yako - whatsapp display picture - simu inakuwa kama imezimwa!




Ahahahaha eti wewe ni danda hadi ukitupa mawe chini una-miss!!!!



Ndo maana wewe huna shepu hadi kivuli chako kinakukataa!!!

Niondolee kichwa kama parachichi la kijiji
 

mmetisha aaaah
 
Wazee naombeni mzoefu, nikifanya application ya kazi zoomTZ hivi najuaje kama zimepokelewa wazee, mwenye uzoefu tafahdari, niko juu ya magogo!!
 
Wazee naombeni mzoefu, nikifanya application ya kazi zoomTZ hivi najuaje kama zimepokelewa wazee, mwenye uzoefu tafahdari, niko juu ya magogo!!
geuka nyuma hapo ulipo utaona jibu lako au usubiri leo utaota.


Nb: umejileta kwenye uzi usiyo. Hadi upigiwe simu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…