Matani

Matani

@asprin: Mwangalie kwanza, una machunusi mpaka ukipigwa picha inatokea kama msasa
@daughter : (natanguliza samahani)..wewe una MEWATA kubwa mpaka unavaa bra long-sleeved!!!!lol
@hashycool : Nyie kwenu ni maskini mpaka mnakula ugali na hadithi za nyama..
@gongotamu : kwenu ni kuchafu mpaka wewe hutoa viatu ukitoka nje..hahahahahahaha (got u..)
@afrodenzi : wewe ni mfupi mpaka voters ID card yako ina picha yako ukiwa umesimama...teh teh teh...
The next reader: Wewe ni mbaya mpaka siku za cha mama na baba wewe ulikuwa mbwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big::smile-big:
 
asprin: Mwangalie kwanza, una machunusi mpaka ukipigwa picha inatokea kama msasa
daughter: (natanguliza samahani)..wewe una mewata kubwa mpaka unavaa bra long-sleeved!!!!lol
hashy: Nyie kwenu ni maskini mpaka mnakula ugali na hadithi za nyama..
gongotamu: Kwenu ni kuchafu mpaka wewe hutoa viatu ukitoka nje..hahahahahahaha (got u..)
afrodenzi: Wewe ni mfupi mpaka voters id card yako ina picha yako ukiwa umesimama...teh teh teh...
the next reader: Wewe ni mbaya mpaka siku za cha mama na baba wewe ulikuwa mbwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big::smile-big:

we nimfupi mpaka passport photo yako umetokea mwili mzima!
 
we nimfupi mpaka passport photo yako umetokea mwili mzima!

Umerudia yangu ila sikuachi ivi ivi..
Nyie kwenu ni wabahili mpaka mnapika chapati upande mmoja!
 
Kweli kazi ipo, yaani katika sifa zote umeamua ku publish kuwa wewe ni professional in matusi, lakini na yenyewe ni fani, may be one day unaweza kuwa Managing Director kwenye kampuni ya matusi.:nono:
 
Twende twende twende! mama wako ni masikini mpaka kashindwa ku afford paying attention! lol! umenikumbusha mbali sana mkuu!:smile-big:
 
Twende twende twende! mama wako ni masikini mpaka kashindwa ku afford paying attention! lol! umenikumbusha mbali sana mkuu!:smile-big:
Hahaha..umenikumbusha kwenu na nyumba yenu ndogo mpaka inabidi mtoke nje mkitaka kuchange mind!!!hahahahaha...
 
Kweli kazi ipo, yaani katika sifa zote umeamua ku publish kuwa wewe ni professional in matusi, lakini na yenyewe ni fani, may be one day unaweza kuwa Managing Director kwenye kampuni ya matusi.:nono:

Jamani kuna tofauti kati ya matani na matusi..
Matani: nimeanzisha thread jana ts still on mpaka leo..
Matusi: unaanzisha thread 8:00, inafutwa 8:05 na unapigwa ban 8:06...lol!

Mwangalie kwanza..kwenu ni wengi mpaka mna chuma ya kujishikilia kama daladala...teh teh teh...
 
We Mentor dada wako mbaya mpaka ukimuweka na pig anamfanya pig awe Model! lol!
 
We Mentor ni mjinga mpaka usiku ukienda lala unabeba ruler ati kupima how long you utalala! twende twende twende!:juggle::juggle:
 
Back
Top Bottom