Matani

Matani

-una kidole kimoja lkn mashindano ya kuchambua mchele unaongoza!!!
-mlipika wali kwenu mara ya kwanza ukawa unazunguka nyumba ukiimba "mchele pfumbuka"
-
 
LadyN: nyie kwenu ni washamba mpaka mkipika wali mnaingia kwa ngonjera! au mkipika kuku mnaimba Ndiki..ndikika-paja...lol
 
......Umekomaa mpaka mikono inatumika kama msasa!!!

Mwangalie kwanza..we ni maskini mpaka ukitaka kuangalia salio *144# simu inakujibu: 'U must be joking'
 
Mwangalie kwanza..we ni maskini mpaka ukitaka kuangalia salio *144# simu inakujibu: 'U must be joking'

We Mentor king'ang'anizi mpaka umeing'ang'ania hii thread kama kupe wa kigoma
 
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)

Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..

Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..

Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...

PS: On a light touch...

mentor umenifurahisah jamani unautani sana inaelekea ulikuwa unapigwa wewe balaa
 
Joyce: wala hakuna wa kunigusa..maana nkishakupa lako watu wakakucheka ukitaka tu kunigusa..wengine wanaingilia!!!
Ndo maana una lips kubwa mpaka badala ya kutumia lip-balm unatumia roll-on!

Aspirin: umekomaa mpaka ukigusa mouse inaandka, "New hardware device detected"..lol!!!!
 
nyie kwenu mko wengi mpaka mzee akiwa na kikao na familia Anaanza kwa kusema NDUGU WANANCHI!!!!,,,,
 
nyie kwenu mko wengi mpaka mzee akiwa na kikao na familia Anaanza kwa kusema NDUGU WANANCHI!!!!,,,,

Mwangalie, na nyie kwenu mko wengi mpaka instead ya kupewa majina mnatumia number plates!!!
 
Cheki miguu utafikiri mpanti(kibanio cha sufuria) ya kupikia ugali!
Cheki mashavu,utazani mimba ya panya!
 
Nyote humu mmefeli kwenye hili jokes utafikiri mnatafuna kitumbua kumbe mnatafuna mawe! lol!
 
Tukutuku: Ndo maana wewe ni mnene mpaka ukikalia novel inakua short story!
Papa mopao: Nyie kwenu ni maskini mpaka mnapikaga chapati moja afu mnaitoa photocopy
Ivuga: Na wewe ni mlafi mpaka we huonja maji ya ugali kama yameiva
Lizzy: una macho makubwa mpaka we huitwa eyewitness..lol!!!
 
Haha PEARL wewe sijawahi kukupatia yako:
Wewe umefulia mpaka wewe hushonewa nguo pocketless! teh teh teh...
 
Back
Top Bottom