hata mm wamenitumia japo niliwapuuzia ila kama unavyosema huchelewi kuta kuna watanzania kibao wameshaingia mkenge na utapeli huuNi mara ya pili natumiwa ujumbe huu: -
Hello, you have been selected for a part-time / full-time job. Daily salary of 50000+ to accept work: t.me/martina669
Mara ya kwanza nilipuuzia ujumbe huu ambao ulitumwa kwenye simu yangu kwa kuwa nina hakika ni wa kitapeli. Nifahamuvyo hukuna kazi inayolipa kiwango hicho na ikapatikana kirahisi au kienyeji namna hiyo. Leo nimetumiwa kwa mara nyingine na inawezekana ni watu wengi wanatumiwa. Nimeona niuanike hapa ili wasaka ajira wasiingie mkenge.
Ahsanteni
Ukatoka mbio kali, bahati yako ungelizwa,nilienda nao weeee ,nlipofika SEHEMU ya kulipia nikatoka mbio Kali.
kazi zilivyo ngumu hivi et kiwepesi tu mtu anaanika uwongo wake hapa.Ukatoka mbio kali, bahati yako ungelizwa,
nilienda nao weeee ,nlipofika SEHEMU ya kulipia nikatoka mbio Kali.
ungepigwa.Nimefata maelezo yao we kukutamanisha wawmeniwekea 65000 eti naweza withdraw 60000 kila nikijaribu inakata nauliza wananijibu natakiwa deposit kiasi chochote kuanzia 5000 na page ya mfano ni mtu kadeposit 100000 nimekimbia mbio kama kuna 65000 kwanini hiyo buku tano wasiitolee humo nikaamua kuja kugooglr nakutana na huu uzi
Link ya telegram hiyo ukiclick utazungumxa na kaka tapeliNi mara ya pili natumiwa ujumbe huu: -
Hello, you have been selected for a part-time / full-time job. Daily salary of 50000+ to accept work: t.me/martina669
Mara ya kwanza nilipuuzia ujumbe huu ambao ulitumwa kwenye simu yangu kwa kuwa nina hakika ni wa kitapeli. Nifahamuvyo hukuna kazi inayolipa kiwango hicho na ikapatikana kirahisi au kienyeji namna hiyo. Leo nimetumiwa kwa mara nyingine na inawezekana ni watu wengi wanatumiwa. Nimeona niuanike hapa ili wasaka ajira wasiingie mkenge.
Ahsanteni
Ulitaka kuingiaBora huu uzi nimeuona mapema, hatar sana. JF heshima yenu.
Nimetumiwa Jana nikafutaNi mara ya pili natumiwa ujumbe huu: -
Hello, you have been selected for a part-time / full-time job. Daily salary of 50000+ to accept work: t.me/martina669
Mara ya kwanza nilipuuzia ujumbe huu ambao ulitumwa kwenye simu yangu kwa kuwa nina hakika ni wa kitapeli. Nifahamuvyo hukuna kazi inayolipa kiwango hicho na ikapatikana kirahisi au kienyeji namna hiyo. Leo nimetumiwa kwa mara nyingine na inawezekana ni watu wengi wanatumiwa. Nimeona niuanike hapa ili wasaka ajira wasiingie mkenge.
Ahsanteni