Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Hii thread ni maalum kwa ajili ya kuanika namba za simu za wanaotapeli kupitia huduma za fedha kwenye mitandao ya simu, naamini TCRA watakuwa wanapitia huu uzi, wangekuwa na Akaunti hapa JF kama Taasisi zingine ingekuwa vema.
0672388589 hii ni mojawapo ya namba inayotapeli, alinipigia simu akisema "napiga simu kutoka Vodacom, unatumia huduma ya MPesa", nikamwambia ndio. Akaniuliza mara ya mwisho kutumia huduma hiyo ilikuwa lini, nikamwambia leo, akaniuliza ulifanya muhamala wa kiasi gani, nikamwambia Dola Bilioni moja, akanitukana.
0672388589 hii ni mojawapo ya namba inayotapeli, alinipigia simu akisema "napiga simu kutoka Vodacom, unatumia huduma ya MPesa", nikamwambia ndio. Akaniuliza mara ya mwisho kutumia huduma hiyo ilikuwa lini, nikamwambia leo, akaniuliza ulifanya muhamala wa kiasi gani, nikamwambia Dola Bilioni moja, akanitukana.