Bi mkubwa wangu ana umri wa miaka kama 53 hivi ila zikiingia sms za matapeli anajua kabsa huyo ni tapeli na hata wakipiga simu anatambua na simu yake haikosi pesa mara Kwa mara
Wewe kijana mdogo hao wakutapeli si utakuwa na pesa za kuchezea
Ongeza umakini ikiwezekana umuibie yeye anayetaka kukuibia